GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,965
- 7,245
Naona nyota tu, uzi umenishinda.Mijadala ipo tuu mzee.. Sema umeikutia kati😂
Naona nyota tu, uzi umenishinda.Mijadala ipo tuu mzee.. Sema umeikutia kati😂
Sorry bro, hivi umewai Soma cbe🤔🤔. Maana jina lime nikumbusha mjuba flani??Naona nyota tu, uzi umenishinda.

Pia hii inawafaa sana hata hawa wa Adobe allKama wewe ni mtu wa software, IT n.k geuza usiku uwe mchana, na mchana uwe usiku; kazi zako utafanya vizuri
Tupo live et😂😂2:34 SI kwenu mna tv, kaeni mtutizame😎😎
Usiku kuna utulivu sana, na kichwa kinakuwa kimetuliaPia hii inawafaa sana hata hawa wa Adobe all
HapanaSorry bro, hivi umewai Soma cbe🤔🤔. Maana jina lime nikumbusha mjuba flani??
Sisi wezi wa kimataifa tumeshatumia fursa hiyo Mimi intelli, mwizi anaye chipukia National Anthem, Mzee wa kupambania.Kama wewe ni mtu wa software, IT n.k geuza usiku uwe mchana, na mchana uwe usiku; kazi zako utafanya vizuri
Ok bro, I mean no malice to nobody 🙏💪Hapana
Kalale mkuu.. Itakua hapa si mahala pako😂😂.. Au ingia chimbo lingine😂Naona nyota tu, uzi umenishinda.
Yataka moyo lakini kama ujazoea..Usiku kuna utulivu sana, na kichwa kinakuwa kimetulia
Yeah, wamesha connect dishi lao, so acha waenjoy😎Tupo live et😂😂
What is your illness..?🤓🤓Kalale mkuu.. Itakua hapa si mahala pako😂😂.. Au ingia chimbo lingine😂
Hii ni movie au nin😂😂😂
Mwanzo utakuwa mgumu; wenzako wanaamka asubuhi, wewe ndio unaenda kulalaYataka moyo lakini kama ujazoea..
Utakua ka unajitesa