Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,691
Sisi ndiyo tunawalinda humu JF mkiwa mmelala. Kila sehemu lazima kuwe na ulinzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wananzengo, kitu gani kinakufanya usilale usiku?
Sisi ndiyo tunawalinda humu JF mkiwa mmelala. Kila sehemu lazima kuwe na ulinzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wananzengo, kitu gani kinakufanya usilale usiku?
Na ndoa inalindwa na nani?Sisi ndiyo tunawalinda humu JF mkiwa mmelala. Kila sehemu lazima kuwe na ulinzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ndoa hailindwi... unaweza linda hapo ferry wenzako wanaogelea Bagamoyo...Na ndoa inalindwa na nani?
Hii kazi ya lindo, haina afya kwa ndoaNapita kuangalia kama kuna mlinzi yeyote nae kalala.
Walinzi huwa tunalala macho humu 😂😂😂😂😂Napita kuangalia kama kuna mlinzi yeyote nae kalala.
Mimi wangu nipo nae lindo..mchana ndio tunakiwasha.Hii kazi ya lindo, haina afya kwa ndoa
Kuwalinda wanaopiga pushapu mida hii, inahitaji ujasiriNdoa hailindwi... unaweza linda hapo ferry wenzako wanaogelea Bagamoyo...
ha ha ha, ukibana sana utafukuzwa kazi; we unatakiwa uende lindo usiku ili mpishane na wananzengoMimi wangu nipo nae lindo..mchana ndio tunakiwasha.
Au tunapoteza usingizi kwa kuwaza sanaWalinzi huwa tunalala macho humu 😂😂😂😂😂
Aah mimi hata siwazi kabisa... maisha ndiyo hayahaya hata ukiwaza hayatabadilika. Ni kufanya juhudi si kuwaza. Mimi niko likizo so nalala mchana, usiku najikuta usingizi umeenda alijojoAu tunapoteza usingizi kwa kuwaza sana
Wengine usingizi unapotea, kwa kutafuta masoko, fursa n.kAah mimi hata siwazi kabisa... maisha ndiyo hayahaya hata ukiwaza hayatabadilika. Ni kufanya juhudi si kuwaza. Mimi niko likizo so nalala mchana, usiku najikuta usingizi umeenda alijojo
Kabisa, ni kupambana...Wengine usingizi unapotea, kwa kutafuta masoko, fursa n.k
Ndivyo inavyotakiwaKabisa, ni kupambana...
Ukikaa vibaya unajikuta roho ilishachomolewaMida ya malaika mtoa roho hii anapita na checklist yake, 3:24am najibariki taraatib na ule mmea wa kondeni
Hujakosea ndivyo ilivyo.Ndoa hailindwi... unaweza linda hapo ferry wenzako wanaogelea Bagamoyo...