00:4500:44
Naona unatoa siri zako mkuuTayari ushapata cha kulalia.![]()
Hapana, nimeuliza tuu wajameniNaona unatoa siri zako mkuu
Upweke kitu kimbaya sana
Kampe kampani basiiii01:00
Pole mkuu ndo tulivyoumbiwa binadamu
Akhsante sana mkuu01:00
Pole mkuu ndo tulivyoumbiwa binadamu
Una upweke gani mzee akati hapa JF upo na watu zaidi ya elfu 2?Upweke kitu kimbaya sana

Kampe kampani basiiii


Akhsante sana mkuu
Unlike charges attracts each other...Upweke wangu plus upweke wake tukijumlisha si ntazirai![]()
Nilikuwa nimelala nimesituka/situliwa na mlio wa simu ikiita....Una upweke gani mzee akati hapa JF upo na watu zaidi ya elfu 2?![]()

Unlike charges attracts each other...
Akhsante sana mkuu
Kwema lakini