JamiiForums Usiku wa manane
Una upweke gani mzee akati hapa JF upo na watu zaidi ya elfu 2?
Nilikuwa nimelala nimesituka/situliwa na mlio wa simu ikiita....

Usingizi umegoma kabisa toka nimemaliza kuongea na simu

Nawaza ningekuwa na mke hapa nimelala nae ningeliamusha dude,
 
Back
Top Bottom