JamiiForums Usiku wa manane
Yaan sikuhizi nikinywa pombe tu na nikawahi kulala basi ikifika saa saba sina usingizi mpaka saa kumi na moja huko ndo naanza kusinzia hata cjui tatizo nini 03;44 nimekaa hapa kitandan sahizi nantaa nimewasha
 
Yaan sikuhizi nikinywa pombe tu na nikawahi kulala basi ikifika saa saba sina usingizi mpaka saa kumi na moja huko ndo naanza kusinzia hata cjui tatizo nini 03;44 nimekaa hapa kitandan sahizi nantaa nimewasha
Kuna mambo mengi sana ya kufanya hivyo basi shukuru kwa huo muda unaopata uwe unafanya mambo mengine unaposhtuka muda huo.

Au ndio unashukta zingine zinabaki kichwani?
 
Back
Top Bottom