JamiiForums Usiku wa manane
Yobu :14:5
Siku za kuishi binadamu zimepimwa; ee, Mungu umeipanga idadi ya miezi yake; hawezi kupita kikomo ulichomwekea.

Bwana atufariji watanzania wote ktk kipindi hiki chote cha majonzi na aendelee kuilinda nchi yetu
 
Nikiona wagonjwa hua naona ugonjwa unakuja kwangu.. Naumia sana sana. Hata nikiona ajali somewhere hua siendi kutizama.
Mazishi hua naenda kutandua tu au siku ya tatu ya msiba otherwise naweza kufa pia huko. Moyo wangu hauwezi kubeba vitu vya huzuni.
Imagine hata majani/miti hua naogopa pia kukata naona naondoa uhai wa kiumbe.
Oooh pole sana! Una huruma iliyopitiliza.
 
Back
Top Bottom