KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,223
- 56,877
Ukikutana na mwalimu wa aina hii utaelewa breki ya kenge ni nini..😂Breki ya kenge ikoje jamani?
Ukikutana na mwalimu wa aina hii utaelewa breki ya kenge ni nini..😂Breki ya kenge ikoje jamani?
Not me sweetie..Wanajijua....unakuta unaandika...unarudi kufuta...
Chizi weweeeUkikutana na mwalimu wa aina hii utaelewa breki ya kenge ni nini..
View attachment 1612195
KhaaaNot me sweetie..
Wewe wasema..🤣😂Kenzy yna2 na Rowin unamtaka nani...?😀😀
Anataka nikosee si ulisema unasubiri nikosee..😂Tumekuwa nguo?
Na weight nishaandaa...50lb inakutosha kuzama...Anataka nikosee si ulisema unasubiri nikosee..
And don't ask me this question again..😂Nauhakika hawezi chagua mmoja🤣🤣
Siwezi kosea bado nipo nawe mahabuba..😍Na weight nishaandaa...50lb inakutosha kuzama...
Hujui vitu Kama hivi ni vigumu kiasi gani hujui tu Tena hujui sana..😂Sawa bwana afya wa porini🤣🤣
Asubuhi njema....Siwezi kosea bado nipo nawe mahabuba..
Okay but don't leave me without a kiss baby..😉Asubuhi njema....
Mda wangu umefika...
Quality sleep is important...
Adios....
Subiri mwezi ujao....xxOkay but don't leave me without a kiss baby..
Okay nitasubiri.. si ndicho unachotaka Basi sawa.. inauma lkn..😭Subiri mwezi ujao....xx
Wacheka hili langu dogo wakati yakwako ni zaidi ya haya...😂😂Hahaaaa
Hebu kalete warembo huko mi hapa Sina hata tone la usingizi! Call them here..Tushasovu huwezi jua ndio alikua yy kanichunia
Huoni ameaga!Rowin humtsk tena