Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 2,218
- 4,043
Mkuu malizia
Mkuu malizia
Pole4:21
Hivi huu ugonjwa wa kuishiwa usingizi katikati ya usiku utaniisha lini
Dawa ni moja tu, ukistuka piga show kali heavy weight baba fatuma akanyage mafuta speed over 120, huo uchovu utakufanya ulale4:21
Hivi huu ugonjwa wa kuishiwa usingizi katikati ya usiku utaniisha lini
Wazee wakurudishia magetiMida yetu ile ya tuliokuwepo halftime sasa
Yani sisi ndiyo wenye msara, ikitokea kuna kitu kimeibiwa walinzi wali wa kwanza wamepiga mishe, sisi mzee inakula kwetu
Jeshi vyeo tofauto mzee. Wengine kuruta na pia wapo maafisaYani sisi ndiyo wenye msara, ikitokea kuna kitu kimeibiwa walinzi wali wa kwanza wamepiga mishe, sisi mzee unakula kwetu
Cheo chako ni kipi ndugu yanguJeshi vyeo tofauto mzee. Wengine kuruta na pia wapo maafisa
Nimekuwa promoted kutoka kuwa mlinzi hadi supervisorCheo chako ni kipi ndugu yangu
Ilisikika akisema mlinzi mmoja hiviAmkeni tukabidhi nchi
Kumbe ndiyo mambo yamebadilika, kile chakula cha walinzi umepunguza ratioNimekuwa promoted kutoka kuwa mlinzi hadi supervisor
Hapana siwezi kuingilia maslahi yenuKumbe ndiyo mambo yamebadilika, kile chakula cha walinzi umepunguza ratio



Kama nipo mwenyewe je , kuna kingine naweza fanya
Dawa ni moja tu, ukistuka piga show kali heavy weight baba fatuma akanyage mafuta speed over 120, huo uchovu utakufanya ulale
Wacha nimalizie kwenye lindo la leo mkuuMkuu malizia