Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Mapenzi ya jinsia moja hayakubaliki, kukesha midume pekee ni matumizi mabaya ya muda.
![]()
Mnamatatizo sana nyie.Ni ke au me?
Mapenzi ya jinsia moja hayakubaliki, kukesha midume pekee ni matumizi mabaya ya muda.
![]()
Mnamatatizo sana nyie.Ni ke au me?
Au tumpe chadema tuwe tunakesha na konyagiMhh zerohizi kamba kabisa.
Unasema?Nimemwambia aje ata comments sasa hivi, ni mke wa kamanda wenu msimtongoze



Itategemea..Nimemwambia aje ata comments sasa hivi, ni mke wa kamanda wenu msimtongoze
Mapenzi ya jinsia moja hayakubaliki, kukesha midume pekee ni matumizi mabaya ya muda.
![]()
We nani kasema lindo ni lazima kuwe na masholi, wakija wamekuja kwa huruma tuMwana siasa sio mtu wa kumuamini kabisa anaweza kuambia hii ni nyeusi wakati anajua fika kabisa hii ni nyeupe.Au tumpe chadema tuwe tunakesha na konyagi
Hivi zile pesa zilizopigwa NMB walinzi tulikua wapiMwana siasa sio mtu wa kumuamini kabisa anaweza kuambia hii ni nyeusi wakati anajua fika kabisa hii ni nyeupe.
Tulia hapa sasa lindoni.Mi nipo sijui hata nafanya nn
Mambo ya kutegemea ni heri asijeItategemea..
Someni alama za nyakati.Mapenzi ya jinsia moja hayakubaliki, kukesha midume pekee ni matumizi mabaya ya muda.
![]()
Hivi zile pesa zilizopigwa NMB walinzi tulikua wapi


We mzee usinitoe chambo ujue.Vitisho tu hivyo.. mwache aje kidogo tupumue..Mambo ya kutegemea ni heri asije
Unahisi huwa uwakika?Watajaa hapa kwenye halftime
Nyie watu bhanaYaani hapa leo hakuna Ke kabisa,
Lindo litakwama.
