fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,686
- 24,005
Basi Sina haja ya kuchoma mafuta kuja hapo ingawa sio mbali na home. Niendelee tu na lindo hapahapaššMuda uwende
Basi Sina haja ya kuchoma mafuta kuja hapo ingawa sio mbali na home. Niendelee tu na lindo hapahapaššMuda uwende
Ndani huko hakuna jipya zaidi ya mikelele ya mziki mkuubwaMm niko ktk vibanda huku na masela ,huko ndani siiingiagi
Hii album sitaki hata kuzungumzia



Kumekucha
Kwani WWE nimaigizo?John atulie, Uchebe sio maigizo!
Kwani WWE nimaigizo?
Wana maana gani kuweka ile warningMichezo ile, ni lini umeona ngeu kama za shishi!
things you shouldn't not try but watch or don't try this?Wana maana gani kuweka ile warningthings you shouldn't not try but watch or don't try this?
Got yah.Ni kwa vile ni maigizo, ile stage yao iko designed vile... nje ya hapo si salama.

Got yah.![]()
Kukimbiza upepo
![]()
Endelea kutafuta six pack maana mambo saiz yamebadilika warembo wanasema vibonge ndio watu wakudate nao maana hawachepuki sasa mm niko nakaza kula.