JamiiForums Usiku wa manane
Kuna fala juzi anasema huo mdundo travis kaiba alikuwepo wapi muda wote inamaana hakusikia nyimbo wakati inatoka ama alikuwa anataka stunt.
Nyimbo kali sana, nausikilizia huo wimbo kwenye headphone za Sony mhmhh shida shida pita mbali mzee...... Ndiyo hivyo kuna watu huchukulia point kwenye vitu hawajavitolea jasho
 
Back
Top Bottom