JamiiForums Usiku wa manane
Hahaha huu ni usingizi tu unakusumbua
Au ndo janja ya kuzuga umelala ile mida yetu kumbe unakoleza moto kwa Dirty head sababu competition niliyoiona sio ya sport sport
Hapana bwana nimeona popo wanakosaga nafasi kabisa,maaana wakija mida yetu tunawatoa nduki wakalale bundi wafanye yao 😉😉😉😉............ Huyo KK simuwezi,mimi nina wivu mpaka najionega wivu mwenyewe
 
Back
Top Bottom