Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,288
- 18,571
00:05
Umechelewa kuingia lindoni kijana.00:05
Karibu mpendwa, post yako ya Ulinzi iko wazi ikikusubiri😊12:04
Ngoja nikufuatie na dawa Madagascar kabisa uwe wakala unisaidie kusambaza tuwe millionaire.Fursa [emoji4]
Vp mbona hukuleta mrejesho [emoji23][emoji23][emoji23] nilete ac?Ww tena
Mpaka wabongo washtuke kuwa haitibu, upo mbali sana.Ngoja nikufuatie na dawa Madagascar kabisa uwe wakala unisaidie kusambaza tuwe millionaire.
😀 😀 😀 😀Umechelewa kuingia lindoni kijana.
Kabisa mzee wangu nacheza na akili zao tu saiz [emoji23][emoji23]Mpaka wabongo washtuke kuwa haitibu, upo mbali sana.
unakua legendary kama babu wa kikombe
Sasa haya materials yanayokuonesha codes nadhani unayaweza kuyapata hata kwa msaada wa google. Nilichokuwa nafikiria umpate mtu wa kupractise nae hizo codes ili uzimaste.😀 😀 😀 😀
Nilichelewa kutafuta kurunzi...
Mzee naona unategea daku kuanzia sasa?Nipo...
Kama kawa.Mzee naona unategea daku kuanzia sasa?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nilichelewa kutafuta kurunzi...
Wazee naona mlifungiwa humu jana mkawa mnapiga story tu mchana?Sasa haya materials yanayokuonesha codes nadhani unayaweza kuyapata hata kwa msaada wa google. Nilichokuwa nafikiria umpate mtu wa kupractise nae hizo codes ili uzimaste.
Unaendaga kanisani?
Nina miaka mingi sijaenda, kipindi cha nyuma kuna mzee mpiga kinanda wa kanisa nilimuomba anipigishe, tulipiga kama siku tatu ile keyboard tulichokuwa tunatumia kujifunxia ikapelekwa kigangoni halafu wakawa wanazuia kujifunzia kwenye piano so zoezi likaishia hapoSasa haya materials yanayokuonesha codes nadhani unayaweza kuyapata hata kwa msaada wa google. Nilichokuwa nafikiria umpate mtu wa kupractise nae hizo codes ili uzimaste.
Unaendaga kanisani?
😀 😀 😀 😀Wazee naona mlifungiwa humu jana mkawa mnapiga story tu mchana?