Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
*MKE AKIONA AMEZIDIWA UZURI NA MCHEPUKO ANAANZA KUJISEMESHA "Mimi ninachotaka heshima TU"*๐๐๐๐๐๐
Dah mida mitamu sana hii, wakubwa mmenielewa5:43
๐๐๐Dah mida mitamu sana hii, wakubwa mmenielewa
0550
5:550550
Kuna ngoma ninazo mpaka sasa hivi huwa najiburudisha mwenyewe. Hii moja nilimtungia demu wangu wa kipindi hiko na mistari yake haijanitoka mpaka sasa kichwani.๐๐Vizuri mkuu, mkuu hauja fikiria kutengeneza hata ngoma mbili tatu au ndo uliamua kuachana na mziki mazima๐๐.
Ulilitendea haki lindo kwa siku iliyopita๐0600
Aise sasa naelewa ni jinsi gani ni ngumu kuachana na kitu fulani unachokipenda. Mimi hadi sasa nimeshaandika nyimbo si chini ya 40 ila nilizo rekodi tayari ni 5 tu, sasa nina mpango wa kutengeneza ka home studio ili niwe najikata kiu mwenyewe, sasa hivi bado najipiga darasa la kutengeneza beat mdogo mdogo.Kuna ngoma ninazo mpaka sasa hivi huwa najiburudisha mwenyewe. Hii moja nilimtungia demu wangu wa kipindi hiko na mistari yake haijanitoka mpaka sasa kichwani.๐๐
Haha mi nilihamia kanisani mpaka kuwa kiongozi wa praise and worship team enzi za chuo hizo. Home kwangu kiburudisho kikubwa ni keyboard na nyimbo za taratibuAise sasa naelewa ni jinsi gani ni ngumu kuachana na kitu fulani unachokipenda. Mimi hadi sasa nimeshaandika nyimbo si chini ya 40 ila nilizo rekodi tayari ni 5 tu, sasa nina mpango wa kutengeneza ka home studio ili niwe najikata kiu mwenyewe, sasa hivi bado najipiga darasa la kutengeneza beat mdogo mdogo.
Ila mimi nitakuwa naziachia, atakayesikikiza asikikize asiyetaka sawa.
Uko vizuri mkuu, Mimi navutiwa sana na Hip hop na Hizo za taratibu. Yaani nikija kui master keyboard mbona itakuwa shida.Haha mi nilihamia kanisani mpaka kuwa kiongozi wa praise and worship team enzi za chuo hizo. Home kwangu kiburudisho kikubwa ni keyboard na nyimbo za taratibu
za akina Celine Dione, west life, backtreet boys, boys2men etc
Wengi wanaonisikilizaga wananisifu hasa kwajinsi ninavyoteleza kwenye kinanda na sauti ya Ken Rogers
I love singing while playing keyboard.Uko vizuri mkuu, Mimi navutiwa sana na Hip hop na Hizo za taratibu. Yaani nikija kui master keyboard mbona itakuwa shida.
[emoji23][emoji23][emoji23]acha kabisaUlilitendea haki lindo kwa siku iliyopita[emoji122]
Kweli kabisa mkuu, kuimba huku ukicharaza keyboard ni moja ya tiba nzuri ya akili.I love singing while playing keyboard.
Utajua tu mkuu, jifunze mdogo mdogo mwisho utakimaster na utanunua cha kwako mwenyewe.
Mkuu hata ukiwa na stresses zako zote zinapotea. Mziki unaongea, mziki unaponyaKweli kabisa mkuu, kuimba huku ukicharaza keyboard ni moja ya tiba nzuri ya akili.