JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mkuu umenipa hamasa sana, nimejarihu na when I was your man ya bruno mars naona kama napita mule mule kama pro flani vile.😂😂😂😂
Shukrani sana mkuu...
Safi sana keep it up. Mi nazipiga hizo wawezasema nilikuwa sehemu ya utengenezaji wa hizo nyimbo. Na hii imekuwa sehemu muhimu sana ya kumburidisha mpenzi wangu akija kwangu.
 
Anza na Code C au F utakimaster mapema sana
Kuzielewa hizo code kunaniumiza kichwa balaa... ninaweza kuplay kipande fulani kikawa kikasikika vizuri tu lakini siwezi kujua hapo nimepita kwenye code gani.
Nina pdf kadhaa, video tutorials lakini bado nashindwa kuelewa vizuri, yaani nikisema nizifuate kanuni naona kama ndo nazidi kupote nakuwa na play vitu havieleweki.
Nikipita njia zangu za uchochoroni naweza hata sample beat za watu wengine, sasa sijui nakwamba wapi😂😂😂😂😂
 
Kuzielewa hizo code kunaniumiza kichwa balaa... ninaweza kuplay kipande fulani kikawa kikasikika vizuri tu lakini siwezi kujua hapo nimepita kwenye code gani.
Nina pdf kadhaa, video tutorials lakini bado nashindwa kuelewa vizuri, yaani nikisema nizifuate kanuni naona kama ndo nazidi kupote nakuwa na play vitu havieleweki.
Nikipita njia zangu za uchochoroni naweza hata sample beat za watu wengine, sasa sijui nakwamba wapi😂😂😂😂😂
Hahaha unahitaji mwalimu, tungekuwa karibu ningekupa muongozo. Ila Hakuna kinachoshindikana, kuna material nitakutumia nadhani yatakusaidia
 
Hahaha unahitaji mwalimu, tungekuwa karibu ningekupa muongozo. Ila Hakuna kinachoshindikana, kuna material nitakutumia nadhani yatakusaidia
Shukran mkuu, nimekua na historia kujifundisha vitu vingi peke yangu na mambo yanaenda fresh ila hapa nimekwaa kisiki aisee. Hope hizo materials zitanisaidia nikitia juhudi pia.
 
Back
Top Bottom