Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,272
- 89,322
Meditation kwangu ilidunda. Bro, kuna demu ametoka Botswana alikuja tukawa tunasoma nae hapo UD, Feb hii 2019, sasa kumbe alikotoka alikua anafanya Meditation yupo sijui stage ya ngapi, akaniambia kuhusu mimi, akaomba nimsindikize kule Mikocheni kuna Wachina wana Meditation (TZ Meditation) duh mi uchu wangu kwakua namtamani nikasema twende. Kufika wakanishawishi na mimi nika register. Aisee ile kitu siwezi. Yaani haielezeki. Eti naangalia kitu kimoja naanza kukumbuka matukio yote im chronological order kutokea nikiwa katoto primary secondary chuo hadi sahivi. Hahahaha. Nililipa ila nilienda twice nikasema hapana. Kama demu wa Kibotswana nikose tu.Unaweza fanya meditation ya kutafuta usingizi pia
