JamiiForums Usiku wa manane
e0c709b6b089059fb352a4a614df8499~2.jpeg
 
naona uwanja umejaa,mechi ya simba na tp mazembe inachezwa hapa,,,
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Tupo wengi
 
Back
Top Bottom