Teh teh una ujasiri sana. ...Hahaha hawana shida, kwenye zoezi hilo la kahawa lazima ukutane nao sana. Mimi huwa nawaweka kwenye mfuko wa shati.
Bilauri[emoji818]Kuna birauli nne za maji na bakuli kubwa moja. Kila birauli imeshikwa na mtu wake,amri inatoka na kusema hivi "kila mmoja amimine maji ya kwenye birauli kwenye hilo bakuli". Maji yakamiminwa.
Kisha ikatoka amri,kila mtu achukue maji yake aliyo yamimina kwenye bakuli lile.
Je unaweza kuniambia hapo birauli ni nani na bakuli ni nani ?
Bilauri[emoji818]
Birauli[emoji777]
Kidogo tu, unaogopaje kiumbe kidogo kinachokuogopa na hakina madhara yoyote?Teh teh una ujasiri sana. ...
Sio kidogo kina miguu na mikono, kichwa na mkia...Kidogo tu, unaogopaje kiumbe kidogo kinachokuogopa na hakina madhara yoyote?
Hahaha safi sana.. Natamani muendelezo[emoji23][emoji23]Au sisi wengine hayawani
Hujatutaja asilani
Watajwa mfikishieni
Mkitia machoni
Yule wake wa ubani
Hapo umefikaHahaha safi sana.. Natamani muendelezo[emoji23][emoji23]
Karibu Zurri [emoji6][emoji6]
Hahaha kuna sehemu ukiishi kuna vitu hata kama unaviogopa inabidi ifikie muda usiogope tena maana ni sehemu ya daily life.Sio kidogo kina miguu na mikono, kichwa na mkia...
Labda Nzi siogopi
Kumbe? Basi ni burudani safi sana.Hapo umefika
Bilauri - MwanammeKuna birauli nne za maji na bakuli kubwa moja. Kila birauli imeshikwa na mtu wake,amri inatoka na kusema hivi "kila mmoja amimine maji ya kwenye birauli kwenye hilo bakuli". Maji yakamiminwa.
Kisha ikatoka amri,kila mtu achukue maji yake aliyo yamimina kwenye bakuli lile.
Je unaweza kuniambia hapo birauli ni nani na bakuli ni nani ?
Nilimzoea nzi. ...Ila bado nisipomwona kwa mda. ..huwa nashtukaHahaha kuna sehemu ukiishi kuna vitu hata kama unaviogopa inabidi ifikie muda usiogope tena maana ni sehemu ya daily life.
Unadhani Nzi asingekuwa karibu na mwanadamu siku zote, anatokea rarely usingemwogopa?
Utupe sasa na maelezo ili tuelewe sisi maslomoo