Malcolm X5
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 1,642
- 2,760
Sema sheikhNipo muda huu
Tunatoboa?
Sema sheikhNipo muda huu
Hakuna kulalaTupo sheikh
Leo tunatoboa
Tuna linda eneo hiliNipo muda huu
Eheheh sasa hapo kianzishwe kitu,joke au story yoyote twende sawaHakuna kulala
Karembo sana mkuu ukichanganya na tabasamu lakekasomali haka larembo
Eheheh team popoUsingizi umeenda kwao
kweli kabisa mkuu, sema kamepigwa na malnutritionKarembo sana mkuu ukichanganya na tabasamu lake
Eheheh sasa hapo kianzishwe kitu,joke au story yoyote twende sawa
Mimi ni Tim Bundi kabisa.Eheheh team popo
Ha ha ha umezoom hzo nywele eehkweli kabisa mkuu, sema kamepigwa na malnutrition
Hii Kali mkuu,mchanganyo Wa nyagi haujamuacha mtu SalamaView attachment 977434
Labda hawa wakuu waliokuwa wanakula offer za noeli
ndio mkuu zinaonekana vyema, dah ila Mungu kakapigania mpaka kamefika hapoHa ha ha umezoom hzo nywele eeh
😁😁Mimi ni Tim Bundi kabisa.
Jamaa kazima,,mwsho wa siku huyu anaweza shusha haja ndogo hapo,,,starehe inageuka karaha sasa
kulikoni tena ,amekuwa chura
😁😁😁suti tupa kuleHii Kali mkuu,mchanganyo Wa nyagi haujamuacha mtu Salama
Eheheh suit though
Hapo siyo starehe tena ni utumwaJamaa kazima,,mwsho wa siku huyu anaweza shusha haja ndogo hapo,,,starehe inageuka karaha sasa