Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,110
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yupo sayari gani?
Unadhani naelewa basi mwenzio!!
Kaishia kunikera tuu
Eti anawaza seduce me leo hii
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yupo sayari gani?
Hivi ww tangu asbh leo ulikuwa unamuelewa babe wangu???[emoji23] [emoji23] [emoji1]
Mtoe hapa ana nikera hajui wimbo mpya
Yoooo! HahahaYyooooo-in kibaz voice[emoji12]
Kama yana kukwaza hatutayafanyaHaya mambo ndo yanayonitia wivu, nilijua yashaisha kumbe ndo kwanza mabichi[emoji53][emoji53][emoji53]
Teh msamehe bure[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unadhani naelewa basi mwenzio!!
Kaishia kunikera tuu
Eti anawaza seduce me leo hii
Mmh,.akishikilia mapori yake wala haelewagi nduguyo...ye anamkumbuka Mac muga tuu[emoji23][emoji23][emoji23]Yoooo! Hahaha
Yaan shem unakuwaga on point kuliko mzee
Uwe una mu update bas
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hivi ww tangu asbh leo ulikuwa unamuelewa babe wangu???
Namkuna mgongo shem,..[emoji1][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
He is off
Umemfanya nn?
HahahaaTeh msamehe bure
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mmh,.akishikilia mapori yake wala haelewagi nduguyo...ye anamkumbuka Mac muga tuu[emoji23][emoji23][emoji23]
You never know..au zake msondo ngomaHahahaa
Ntampeleka kwa mzee wa upako akaombewe tuu.
Au yeye anafuatilia billboards mtoto wa kishua
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Namkuna mgongo shem,..[emoji1]
We utakuwa pori la mjini Shem[emoji1][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mimi niko porini ika niko uptodate namshinda
HahahaaYou never know..au zake msondo ngoma
Kachoka leo hatarii mshwityy wangu,tumwache tuu apumzike shem,[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Bas ndio maana
Halaf na ww unavokuwa una mhandle sawa sawa
Ataanza kuongea mambo mengine
Wacha akapumzike
As long Neybright, mumu, jje's, Demiss, Inna, (carba.....nini sijui nampenda ila jina lake ntihani kwangu) wanayafurahia basi sina neno. Endeleeni tu kubebishana kwa raha zenu[emoji23][emoji23][emoji23]Kama yana kukwaza hatutayafanya
Itafaa nini ikiwa sisi twafurahi lakini wewe huenjoy
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]We utakuwa pori la mjini Shem[emoji1]
NoooAs long Neybright, mumu, jje's, Demiss, Inna, (carba.....nini sijui nampenda ila jina lake ntihani kwangu) wanayafurahia basi sina neno. Endeleeni tu kubebishana kwa raha zenu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji22][emoji22]As long Neybright, mumu, jje's, Demiss, Inna, (carba.....nini sijui nampenda ila jina lake ntihani kwangu) wanayafurahia basi sina neno. Endeleeni tu kubebishana kwa raha zenu[emoji23][emoji23][emoji23]
Haya msalimieKachoka leo hatarii mshwityy wangu,tumwache tuu apumzike shem,