Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 617
- 854
Nataman kudekewa tu Leo[emoji16]Mimi nalala jaman oooh
Nataman kudeka dekaaa tu leooo
Nataman kudekewa tu Leo[emoji16]Mimi nalala jaman oooh
Nataman kudeka dekaaa tu leooo
Sawa,usiku mwemaKesho nitakujib mm nalala
Geti huwa linafungwa 06:00 AsubuhiMm kila siku najkuta ndio nafunga nyimba hii yan huu usingle utatumaliza walah
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Hahahhhh yan humu inafika hatua inabid ufunge tu maana vijana wa panya road kibao mtaan
Hahahahahaha.na mimiNimeota natype halafu nimeota kuna Mwifwa na Demiss nao wanatype [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nalala tena waongezeke kwenye ndoto yangu . Nataka hadi nimuote Kichwa Kichafu leo [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
ww nakujua ndoto zako ni za jamvin tu humu[emoji16][emoji16]Nimeota natype halafu nimeota kuna Mwifwa na Demiss nao wanatype [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nalala tena waongezeke kwenye ndoto yangu . Nataka hadi nimuote Kichwa Kichafu leo [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
ww nakujua ndoto zako ni za jamvin tu humu[emoji16][emoji16]
Hahahahahaha.na mimi
Unasalimiwa na Mwifwa amekusubir hpa wee tumekunywa mpk vinywaji vmeisha bhanAkili pesa una kelele ona umenishtua sasa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Usilale.jf usiku wa manane(00-05hrs).niote from 05-[emoji12]Nakuota sasa hivi subiri nilale tena [emoji12][emoji12][emoji12]
@ Iceman 3D leo sijamuona kabisa pande hizi mkuu.ila mkali wa wote ni Iceman 3D yule ni balaa mpk alfajir yumo humu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Aisee chief mbona leo mapema sana.Wazee mi nalala usku mwema