Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Mtoto haonekani sasaAaah wapi
Mtoto haonekani sasaAaah wapi
Love you so much honeyGood nyt the most beautiful girl in the whole world
Sleep well, i love you.

Hahaha mama chanjaBado nipo kifungoni
Mimi nawe tumemaliza imebaki heshima ttuuYou better stay silent.
HahahahWala wasimlaumu kwake nimejifungia mwenyewe tu ha ha haaa
Na weye piaMe naomba nipumzike wazee wa getini tukutane hapa kesho tukabidhiane funguo,
Usiku mwema wote.
Nimehamia bondeniJirani hivi umehama nyumba hadi umekuwa Wa kunikimbia hivi




Hahaha iliisha pale pale mods walifunga UziHahahah
Sawa bhana! Hivi braza ile ishu ya mambembe imiishia wap?![]()

Ametoka jf kwa muda but atarudiMtoto haonekani sasa
We jifariji tu utakuwa mshika mapembeAmetoka jf kwa muda but atarudi
Hahaha iliisha pale pale mods walifunga Uzi![]()
![]()
Mkuu ni mzigo wa watu huoWe jifariji tu utakuwa mshika mapembe
Pamoja vipi leo hufui?Jamani wacha nilale

Jf hutakiwi kuchukulia kila kitu serious jukwaa lenyewe chitchat kabisa mkuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ila braza nyie ni watu hatari, alikiwa amepanick halaf nyie mmetulia.
Alinimind ile mbaya,
naona hata yeye katulia kdogo sjui atarud tena!

Watu wanakamua maziwa we unapambana na kushika pembe bossMkuu ni mzigo wa watu huo

Sijahamini kweli mambo ni moto![]()
![]()
![]()
Sio kwa hivi.
Jirani asie namaslahi