Kumbe bado wachungulia huku...Kamanda mzugaji nakuona
Watakuwa wanakinga majiNa kimvua hiki mko wapi?
Na kimvua hiki mko wapi?
Wadau nimepigwa kibuti na wife saizi kila mtu yupo chumbani kwake sa usingizi nautoa wapi na baridi hii
Nitaweka CCTV Camera ili niwanase wote wanaofungua geti kabla ya muda..Watakuwa wanakinga maji
Tabia yako mbayaLindo jemaa,..
HahahaaNitaweka CCTV Camera ili niwanase wote wanaofungua geti kabla ya muda..
SawaLindo jemaa,..