JamiiForums Usiku wa manane
Huyu chalii nilipita kwenye nyuzi zake
za hivi karibu ktk uhusika wa (da'vinci) ndio nikawa najiuliza huyu mondray wapi sema nikapotezea kishikaji.

Leo alivyosema nimekumbuka ile day
Hahaha
Watu huwa wanamjua vzuri tu
Ila mi nilikuwa nakubali kipindi ana id yenye swaga za Ray vanny
Hahaha alikuwa ana ua kila uzi akifungua
 
Back
Top Bottom