Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
hahahaha
utakuta mnaishia kucheka cheka tuu
mnauliza vip ,upo, unaendeleaje
the mnarudia hizo salam wee
had raha




hahahaha
utakuta mnaishia kucheka cheka tuu
mnauliza vip ,upo, unaendeleaje
the mnarudia hizo salam wee
had raha




Mwenyewe imegoma, yaani ule mpaka ujikule mwenyewe mdomoni kweeeliAcha nicheke tuu maana nimeshindwa kujizuia, hivi huo ni ulaji gani nimejaribu kufanya imagination imekataa
hahahaaAiseeee
Hizo babo gum werevaa huleta njaa sanaaa ujue....
.Mwenyewe imegoma, yaani ule mpaka ujikule mwenyewe mdomoni kweeeli





Mmmmhhahahaa
kwani minlikuwa najua hizo
nlikuwa naweza kula karanga, azam icecream, choklate, mchana nikapiga ubwabwa wa kutosha
sasa ukimaliza na ka pepsi siku ndio ina isha isha. saa kumi na moja tuu jion jion ka njaa ka usiku kana anza.
nnavo rud
hivi Ney sku tukikutana tutaongea nn?
Mie Nafikiri ni kigogo, kula kote hukooo awe kiboko tuu
Huyo kiboko![]()
ShkamoKumbe kuna uzi wa ma nocturnal...
Utasema tuu hata Shkamohivi Ney sku tukikutana tutaongea nn?
eehehehee, ila mi huwa nna jitahid kutafuta maneno
hahahahAcha nicheke tuu maana nimeshindwa kujizuia, hivi huo ni ulaji gani nimejaribu kufanya imagination imekataa
hivi Ney sku tukikutana tutaongea nn?
eehehehee, ila mi huwa nna jitahid kutafuta maneno




Mmmmhhahahah
Ney nenda hospital sku moja mwambie dokta unapata vidonda sanaa vya mdomoni
lazima ataku recommend kula kdogo kabla ya kuchek kitu chochote
ila nliambiwa niwe nakula sana na matunda na vngne nime sahau sahau
hahahaMmmmh
Kumbe wewe ndo unakuza uchumi eeeh
Mida ya mshana hii, Angalia asiondoke na sauti
Banah mie sitaki huo ujinga wako, ujue nacheka kwa sauti alafu usiku sasahivi aah
hahahahUtasema tuu hata Shkamo

Hehehee
hahaha
mi ndio nlikuwa mlipa kodi
ila now nshapunguza jaman
may be tulikuwa mimi na le mutuz bas




