didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 2,101
- 3,566
Tutaiharbu JF na bado
Mimi hata hawa mods sina imani nao kabisa, wanaweza kuwa sehemu ya tatizo kama sio chanzo.Tuanze kuwatoa akina Lucas Mwashambwa na Mods wawekwe wapya wanaokidhi mahitaji.
nilihisi unatania aisee ,imebidi niangalie umejoin mwaka gani.Tutaiharbu JF na bado
Yes, nadhan wakati ubora wa content ukishuka, mapato ya JF yanaongezeka. Inakuwa kama habari za muziki mzuri usiouza na muziki mbaya wenye soko.ujinga mwingi ndio unaleta traffic kwenye website , na hapo ndio wamekamatia.....
NumbisaDuh aiseee
Achana nayoWakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Lichoko km wewe ndo unafanya watu waione JF ya hovyo.. muda wote upo pm za watu kuomba ufokolewe pumbavu 😡Achana nayo
Hakika. Si bure.Pesa imeshatembea humu JF View attachment 3308222
Huwezi jua. Labda mwenye mbwa kalambishwa asali na hivyo kutoa maelekezo kwa mbwa wake watimize masharti ya kupewa asali. Au pengine tangu enzi ni "one of them" na hapa yupo kazini. Muda mrefu nimekuwa na mashaka hayo.Mimi hata hawa mods sina imani nao kabisa, wanaweza kuwa sehemu ya tatizo kama sio chanzo.
nilipambambana na MTETEA MASHOGA mmoja maarufu sana humu jukwaani, nilifuatwa PM kuonywa kuwa ninafanya personal attack na comments zangu zikafutwa zote,....na kupewa onyo juuu,😳😳🤔😔🥲...hapo ndo nikajua kwa nini kwann ndugu zangu humu wa bize na mambo ya hovyo tu,...Wanafuta nyuzi....kumfurahisha bwana Abdul na Mama yake sasa unategemea nini ? .... hivyo kuwafanya watu makini kupunguza madini na kutokutoa mada za maana tena.
Nitafanya hivyo nitakaapona inafaa , sio kwa sababu umesema.Achana nayo
mkuu isije kuwa uliacha kushambulia ukaanza kumshambulia mtoa mada? ila mods kuna wakati wanazingua.nilip
nilipambambana na MTETEA MASHOGA mmoja maarufu sana humu jukwaani, nilifuatwa PM kuonywa kuwa ninafanya personal attack na comments zangu zikafutwa zote,....na kupewa onyo juuu,😳😳🤔😔🥲...hapo ndo nikajua kwa nini kwann ndugu zangu humu wa bize na mambo ya hovyo tu,...
HAKUNA MTU SMART AMBAE ALIKUA JF 15 YEARS AGO HADI LEO AKAWA ACTIVE MEMBER,
Una hasira sana. Kila ukiona comment yangu unajisikia kulegea. Endelea kujifanya mwanamke. WATU WAMEKUSHTUKIA HAWAKUTAKI. MIMI ENDELEA KUNIFUATA FUATA ILA SITAKI MABWABWA hata ungejiita miss bantu. Wewe ni mwanaume usijione kama mwanamke.endelea kujisikia kichefu chefu.nataka kila ukiniona sehemu uvurugukiweLichoko km wewe ndo unafanya watu waione JF ya hovyo.. muda wote upo pm za watu kuomba ufokolewe pumbavu 😡
Sasa unalalamika nini?Nitafanya hivyo nitakaapona inafaa , sio kwa sababu umesema.