Jamii Forum inapoteza ushawishi kwangu.

Jamii Forum inapoteza ushawishi kwangu.

Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Siku hizii unakutana na mada kama hii; Simba akishinda jumapili nipigwe ban

Mods nao wana entertain tu ujinga
 
ujinga mwingi ndio unaleta traffic kwenye website , na hapo ndio wamekamatia.....
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Uchawa unpenya kila mahali, ogopa nguvu ya pesa
 
Sio wewe tu ..e 80% nashinda tiktok, 10 google 5 you tube na 5jf.
Tiktok itaua huu mtandao.
kila nikiingia kwenye jukwas la kilimo na teknolojia sioni jipya, bado ukipost jambo jipya halipati mjadala wa kutosha. Nahisi JF inaweza kuja kufa wasipo kuwa makini.
Sio rahisi 17yrs kwenye game sio jambo la kitoto.
 
Sio rahisi 17yrs kwenye game sio jambo la
Sasa hiv platform zimekuwa nyungi sana sio kama miaka 17 iliopita. wasap, tiktok, AI youtube ilikuwa bado changa. Forum ilikuwa kama teknolojia kubwa.
Miaka hio Wikimedia ilikuwa moto leo sidhani kama kuna watu wanaingia wiki.com.
Unaweza ukawepo ila mdhaifu unae jikongoja.
Angalia microsoft walivyopoteana, unajua bill alikuwa tajir no1 kwa miaka mingapi? Ni zaidi ya 20, leo kapoteana. Nivizuri sana kuchukua tahadhari vinginevyo unakufa mazima.
 
Nilidhani ni mimi tu,kumbe tupo wengi. Hata baadhi ya members walio kuwa active sana siku hizi hawajihusishi na jf.
Jf ya miaka ya 2009-2015 ni tofauti na hii.
Wamebadili I'd mkuu , usidanganyike na ndio wameamua kutoa hizo mada mnazoona za hivyo.
 
Aaah umezoea vya kunyonga tu, kina The bold watafute madini huko wakuletee, kina UMUGHAKA wajipinde wakuandikie wewe story uje uburudike bure kabisa wakati hizo story kuna watu X wanalipishwa. Kijana kama unaona jf inadorola anza kuifufua, mabadiliko huanza na wewe.
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Tuanze kuwatoa akina Lucas Mwashambwa na Mods wawekwe wapya wanaokidhi mahitaji.
 
Weka hii Post, "Sisi watu wakula tunda kimasikhara" tujaze kurasa mia kwa nusu saa.
 
hivi inawezekana humu kukawa na generation mpya ambayo haiwezi kuelewa utofauti tunaofeel?
Ipo mkuu, we angalia tu katika hali ya kawaida mtu unawezaje kuandika thread 5+ plus kwa siku halafu hazina hata maudhui ya kutoa elimu.

Anyway tuvumilie 😁
 
Back
Top Bottom