- Thread starter
- #21
Haswaa, Kwa hii JF ya sasa mimi sioni kama slogan ya The Home of Great thinker ni sahihi.Nilidhani ni mimi tu,kumbe tupo wengi. Hata baadhi ya members walio kuwa active sana siku hizi hawajihusishi na jf.
Jf ya miaka ya 2009-2015 ni tofauti na hii.