Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 22,126
- 31,389
Kitendo cha kufuta mada kwa kuwalinda abdul na mama yake kimefanya JF kupoteza TRUST na kuwa siyo salama sana ...maana hao wanao futa nyuzi za namna hiyo maana yake wanatumiwa na hao wanao walinda siri zao chafu zisitirike...mfano ukiposti uxi kuonyesha NO ya account za nje ya nchi yenye mabilioni ya abdul na mama yake huo uzi utschukua dakika 5 tu kufutwa...hii ina maana JF KUNA VIRUS WA MAFISADI HIVYO SIYO SALAMA KWA WATUMIAJI .Hii ndio pointi ya msingi wanafuta nakuficha what do you expect?DKit