Jamii Forum inapoteza ushawishi kwangu.

Jamii Forum inapoteza ushawishi kwangu.

Una hasira sana. Kila ukiona comment yangu unajisikia kulegea. Endelea kujifanya mwanamke. WATU WAMEKUSHTUKIA HAWAKUTAKI. MIMI ENDELEA KUNIFUATA FUATA ILA SITAKI MABWABWA hata ungejiita miss bantu. Wewe ni mwanaume usijione kama mwanamke.endelea kujisikia kichefu chefu.nataka kila ukiniona sehemu uvurugukiwe
Inakuuma ukishafokolewa hasira una mali Zia kwangu? Tumbili wa mjini utateseka sana..!!

Mkd unakuwasha nishakwambia Sina mkia ila mbwa wangu wapo watakushughulikia..!!

Sasa mimi nitakane na choko la kazi gani wanaume wote marijali waliojaa humu??
 
Sasa unalalamika nini?
Nimeweka mawazo yangu hapa, ili kuona mawazo na michango ya wengine. Kuna options nyingi za kufuata,hilo la kuachana na JF ni moja wapo,kwa sasa naendelea na options nyingine.
 
JamiiForums imeharibiwa na ukaribu wake na serikali pamoja Usala wa Taifa kujaza topic za hovy hovyo makusudi na zisizo na mashiko ili kuharibu ladha ya mijadala na umuhimu wa JF. Lazima JF iondoe topic za hovyo!
 
Ukishaona mtaani mziki wa singeli unatamba ujue jamii ya watanzania inatia huruma dhidi ya jamii nyingine.

mapenzi hisia tingisha kichwa kidogooooo.
 
JamiiForums imeharibiwa na ukaribu wake na serikali pamoja Usala wa Taifa kujaza topic za hovy hovyo makusudi na zisizo na mashiko ili kuharibu ladha ya mijadala na umuhimu wa JF. Lazima JF iondoe topic za hovyo!
bro umeongea point nzuri sana, nakumbuka kipindi cha nyuma Jf ilikuwa kiini cha mijadala mikali sana, viongozi wa serikali walikuwa wanaona kama Jf ni ya upinzani , inawezekana hiki tunachoona ni mkakati wa mfumo kuharibu maudhui au labda kuna mtu kashake hands na system.
 
  • Thanks
Reactions: Zed
Nimeweka mawazo yangu hapa, ili kuona mawazo na michango ya wengine. Kuna options nyingi za kufuata,hilo la kuachana na JF ni moja wapo,kwa sasa naendelea na options nyingine.
Ok. Hizo nyingine fanyia kazi usiwe unalalamika lalamika.sawa?
 
Hiyo sahii mkuu,hakuna tena la maana,me nilijitoa mwaka Jana sikuwaza Kama nitarudi tena,.Ila shemeji yenu(tumeoana ofcoz) ambae ni memba,kanishawishi Sana nirudi JF,Jana ndio nikafungua account mpya..and trust me tangu nimeingia najaribu kuperuzi kila jukwaa naona ushubwada tu..wtf

Mpishe wengine waendelee, kama nyinyi wazee ndo tunawategemea mtoe hayo madini hamtoi, mnategemea nani atatoa?

Kazi yenu kukosoa tu kuwa hakuna cha maana, wakati kuanzisha threads zenye madini hamtaki
 
Kwenye mambo ya kuuza bidhaa au kutoa huduma, kulalamika ni haki ya msingi ya mteja au mpewa huduma.
Kama huduma huipendi unaachana nayo. Hamna haja ya kulalamika.sisi wanaume tunatoa maoni au tunachukua hatua.
 
Kama huduma huipendi unaachana nayo. Hamna haja ya kulalamika.sisi wanaume tunatoa maoni au tunachukua hatua.
Ishi unavyopenda. Achana na wengine. Ungekuwa mwanaume post zako tu zingeonesha hamna haja ya kusema.
 
Democracy requires difficult conversations. There are a lot of people in JF who think critically and an open space would allow us to learn from one another and move forward as a community and a nation. Ningependa sana kuweza kubadilishana mawazo na wananchi. Tuende wapi sasa ambapo hamna matusi na overregulation ?
 
Wanafuta nyuzi....kumfurahisha bwana Abdul na Mama yake sasa unategemea nini ? .... hivyo kuwafanya watu makini kupunguza madini na kutokutoa mada za maana tena.
Hii ndio pointi ya msingi wanafuta nakuficha what do you expect?
 
Zamani ilikuwa mpaka uwe na mtandao wewe ni mtu fulani hivi.

Siku hizi ngumbaru na vifulambute wao wote wana mtandao.

Na wengi wao wabishi sana wanajiona wanajua.

Hapo ndipo tatizo linapoanza.
 
Back
Top Bottom