Jamii Forum inapoteza ushawishi kwangu.

Jamii Forum inapoteza ushawishi kwangu.

[emoji3][emoji3] pole mkuu. Nmekua napitia madini ya zamani ya JF watu walikua wanatoa nondo kweli kweli..ila ukichek hizo ID last seen unakuta mwaka 2013 kushuka chini..wengine 2015 kushuka chini, hawapo kabisa ...saivi unafungua unakuta mambo ya ajabu ajabu
Kuna ushauri mzuri ulitolewa kwamba kue na majukwaa exclusive kuingia au kushiriki mjadala watu wawe wanalipa Ada,hili wazo kwa namna Fulani lingesaidia kuokoa JF ya intellectuals,.sio kwamba mzaha haujawahi kuwepo Jf,upo tangu siku ya Kwanza but kila inavyozidi kukua watu wengi wanazidi na ujinga unazidi

So ujinga Mara zote lazima u-out weights Mambo ya maana,and watu wengi Smart huwa Hawa entertain ujinga kupitiliza,wanakua triggered kirahisi..so mtu anaona Bora muda wake awekeze kwenye Mambo ya msingi kuliko kubishana mtandaoni na maandazi..lol
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Sawa tumekusikia
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Usiwe unaingia kabisa
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Kumbuka JF hai generate contents, hivyo wanaofanya hivyo ni Sisi wanachama! Wanachama wa miaka kumi iliyopita Siyo hawa waliopo Sasa, hata fikra zinatofautiana pakubwa.

Nafikiri uongozi wa JF wakiwa serious kwa kuchuja mada zinazopostiwa humu inaweza kurejesha ushawishi kwa kiasi flani.

Miaka ya nyuma JF ilikuwa credible source ya taarifa za uhakika na za kuelimisha na hata waandishi wengi wa vyombo vya habari na mitandaoni walikesha Sana humu Ku copy maudhui.
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Umesema ukweli mchungu.... tegemea kupokea kejeli hasa kwa wale ambao ndiyo wanaongoza kuandika mambo ya hovyo humu jukwaani.
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?

Kila la heri, nenda LinkedIn
 
Generation yako ikipita zama mpya zinapoingia unaona kila mtu anafanya ujinga ila siyo ujinga ni wewe zama ndo zimekuacha yani umeshakua mzee, ndo maana ukikaa na wazee huwa hawawezi kusifia vijana toka zama za kale utaskia wanasema hawa vijana wa siku hizi hamna kitu.

Kwahiyo ni mabadiliko ya mwili kutoka ujana kwenda uzee tu hayo.
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Imeingiliwa na wahuni wao kazi yao ni kuvuruga mijadala siyo kujenga na kujadili hoja productively, nadhani wahusika wana kazi ya kufanya
 
Wahusika wa maarifa wako busy
Hivyo sisi wategemea Cha ndugu tunapaswa tuchangamke sasa
 
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa mapya, simulizi za kusisimia. Awali nilikuwa naweza kumaliza siku nzima JF pekee na nisitake site nyingine,siku hizi hata nusu saa nashindwa kumaliza. Kwanini nafeel hivi siku hizi? Siku, wiki, miezi inaweza kupita sijapata kitu cha kuelimisha au kuburudisha. Hii hali ni mimi tu napitia au na wengine?
Kwasasa hapa ni simulizi za ngono zimetawala nadhani wasimamizi wanafurahia zaidi mimi huwa nachangia ili kuwaelimisha lakini hazina tija kwa jamii
 
Back
Top Bottom