karne ya 21 sio ya kuzuiana mwenza kuingia kwenye forum, nyie ndo watu msemao demu wangu hana mambo ya hovyohovyo Jamii haingii hana whatsapp wala viber maana anasema ni anasa kumbe huyo mkeo au mpenzi wako kajaa sana JF anatumia jina mbadala kwa mipasho na matusi ndiye mwenyewe ukiwepo anajifanya hata JF haijui maana uko controlling na una wivu. Cha kufanya ingia Jamii Forum mtafute kwa kuangalia interests zake angalia ID za watu wanavyoandika yaani mawazo yao, spelling errors, aina ya maneno, misemo, mtiririko wa sentensi, vituo, nukta, herufi kubwa na habari anazopenda kuongelea linganisha na sms anazokutumia kwenye simu pia maongezi ya nyumbani naamini utampata na utashangaa alivyo kiranja wa mambo JF. Hizo ni tips
hivi utajisikiaje ukiona mke wako anajibizana na vidume jf hasa kwenye hili jukwaa?