Jamii forum hii lol!

Jamii forum hii lol!

karne ya 21 sio ya kuzuiana mwenza kuingia kwenye forum, nyie ndo watu msemao demu wangu hana mambo ya hovyohovyo Jamii haingii hana whatsapp wala viber maana anasema ni anasa kumbe huyo mkeo au mpenzi wako kajaa sana JF anatumia jina mbadala kwa mipasho na matusi ndiye mwenyewe ukiwepo anajifanya hata JF haijui maana uko controlling na una wivu. Cha kufanya ingia Jamii Forum mtafute kwa kuangalia interests zake angalia ID za watu wanavyoandika yaani mawazo yao, spelling errors, aina ya maneno, misemo, mtiririko wa sentensi, vituo, nukta, herufi kubwa na habari anazopenda kuongelea linganisha na sms anazokutumia kwenye simu pia maongezi ya nyumbani naamini utampata na utashangaa alivyo kiranja wa mambo JF. Hizo ni tips

hivi utajisikiaje ukiona mke wako anajibizana na vidume jf hasa kwenye hili jukwaa?
 
anaongea manini huyu mleta mada.unakuwa kama mabibi wa s2 bunge la katiba,wanabwatuka
 
hivi utajisikiaje ukiona mke wako anajibizana na vidume jf hasa kwenye hili jukwaa?

Kwani shida nini baba?!!!!!!!? Live your life, hujui walikutana wapi, wanapendana vipi wala wanaishi vipi. Kila mtu na principle zake katika maisha.
Dinazarde, hongera mama, shemeji anajiamini sana. It takes a real man kuruhusu mke wake asocialize katika mitandao ya kijamii. Umepata mume makini na mwelewa, Mtunze mama.
 
Last edited by a moderator:
hivi utajisikiaje ukiona mke wako anajibizana na vidume jf hasa kwenye hili jukwaa?


Mbona anajibishana sana tatizo ni kujibishana au ni kwenda kinyume cha maadili? Wapo wengi wanawake wamo humu na jamaa zao hawajui maana waliwazuia wakaamua kwenda kwa fake ID's kwahiyo kipi bora uone asemacho au akufiche hayupo jamii kumbe kajaa kama bwabwa la Eid katika karne hii watu wana uhuru wa kufanya kilicho kizuri bila madhara kwenye jamii wala mahusiano yeye kuwa JF akajadili mada mbalimbali sioni tatizo maana ni furaha yake ili mradi hakuna zaidi ya hapo tatizo midume ya humu mingine haipo kimijadala ipo kiutongozaji ikiwa quoted mara mbili tatu na ikapigwa likes au kuwa mentioned next inatuma PM kudhania imependwa. Wapo wanawake wengi sana humu nawajua na wana jamaa zao humu JF pia wapo ambao jamaa zao hawajui wamo yaani jamaa yupo JF na mke yupo Jf wote wanatumia fake Id's na hawajuani au jamaa hayupo kabisa JF lakini bibi kajaa tele na wala haiongelei JF pia bwana yupo JF bibi hayupo JF haya mambo ni kujuana bibi kutokuwa JF haimaanishi katulia sana anaweza kuwepo kisiri au hayupo lakini mambo yake makubwa ni luzi Fulani lakini akiwa na wewe bwana anajifanya si muongeaji hata ukitaja k au m anaruka huna haya wee mwanaume kumbe zinamramba kila mwezi wanaume tofauti
 
Utuwache na uswahili wetu tuinjoi maisha yetu ya kiswazi.. Evelyn Salt hebu niazime like dera lako la blue leo naenda jahazi modern.. Dinazarde upo chumbani kwakoo? Nakuja uniazime zile hereni zako nimatch na dera leo nna mtoko. Kim nana naomba mboga nishaivisha ugali mie hata sijapika mboga leo nilikuwa na hela ya unga robo tu.
Shoga ijia tu nipo mbagala, dira blue kiremba chekundu, funguo za gari ntakufikiria....
 
Mbona anajibishana sana tatizo ni kujibishana au ni kwenda kinyume cha maadili? Wapo wengi wanawake wamo humu na jamaa zao hawajui maana waliwazuia wakaamua kwenda kwa fake ID's kwahiyo kipi bora uone asemacho au akufiche hayupo jamii kumbe kajaa kama bwabwa la Eid katika karne hii watu wana uhuru wa kufanya kilicho kizuri bila madhara kwenye jamii wala mahusiano yeye kuwa JF akajadili mada mbalimbali sioni tatizo maana ni furaha yake ili mradi hakuna zaidi ya hapo tatizo midume ya humu mingine haipo kimijadala ipo kiutongozaji ikiwa quoted mara mbili tatu na ikapigwa likes au kuwa mentioned next inatuma PM kudhania imependwa. Wapo wanawake wengi sana humu nawajua na wana jamaa zao humu JF pia wapo ambao jamaa zao hawajui wamo yaani jamaa yupo JF na mke yupo Jf wote wanatumia fake Id's na hawajuani au jamaa hayupo kabisa JF lakini bibi kajaa tele na wala haiongelei JF pia bwana yupo JF bibi hayupo JF haya mambo ni kujuana bibi kutokuwa JF haimaanishi katulia sana anaweza kuwepo kisiri au hayupo lakini mambo yake makubwa ni luzi Fulani lakini akiwa na wewe bwana anajifanya si muongeaji hata ukitaja k au m anaruka huna haya wee mwanaume kumbe zinamramba kila mwezi wanaume tofauti

Well said my shemeji. Dinazarde how I wish Shem angekuwa wangu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom