thinky
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,121
- 267
Hahhhhahhfa
ni serious sijaamini na anamikwara kweli jf inaficha wengi tena asinizoe awa pm wakina kitale
Hahhhhahhfa
Siku hizii unatajaa mamboo wewe sikuwezii inabidi ukafundwe kama weweeee
ukukagame yukwapi nasikia ni mbaya mbovu kama negative ya mizengo pinda
Huko nyuma hukua hivyoooo aisee
Ashakupm kwanii?
Hongera sana kuapata msamaha Dinazarde, natumaini unapokuwa na mumeo kipenzi Redlum utaweka simu yako pembeni mbali kabisa na kupata wasaa wa kuwa na mumeAhsante kwa kunisamehee mpenzi wanguu maana hadi nilipata jotoo nikaonaa niwashirikieshe mashostito nao waniombee msamaha maanaa hali ilikua mbayaaa ban ya nyumban mbayaa my darling bora upate ya Jamii au sio TATIANA na measkron,nashukuru kwa kua muelewaaaa kiasi hiki ndio maana najivunia kua na wewee
Mpenzi hebu mfunze huyu kichunda...
Huko nyuma hukua hivyoooo aisee
Pitia post zotee utamuonaaaa bora kuulizaa kuliko kutaja jina huku uhakikaa haupooo
Wadauz mpooo
Kama kawaidaa yetuu humu MMU ukaletwaa uzii mtu anataka kufaaa wee tukaushikiliaaa bango hatare thread ikanogaaa mpaka basiiii michambo ikapambaa moto si utanii ,mie mtoto wa kikee yamenikutaa aisee
My laazizii kipenzi cha moyo wanguuu, we ndo joto langu, blanket langu, utamu wanguu,jamani ni kupitiwaa tu ukatuma sms kwa Whatsapp jamani nikawa najibu huku natoka kuchunguliaa umbeaa wa jamiii wa NATAMANI KUFA!
Maana uzi ulinogaa mpambano ulikua mkalii balaaaaa, heeee laaziz si akagunduaaa mweeeee kesiii hiyo ninayo miee naisovu mwenyeweeeee aisee natakaa nianze kupotea poteaa kidogoo maanaa Jamiii tamu,mume mtamu zaidiii haki ya baba hata mama anajuaa hilii kua mume mtamu nakupenda sanaa unafahamu hilo.
Jaman mpenzi wangu,mume wangu kipenziii hakuna kama wewe hapa chini ya jua naomba nisamehee kwa kosaa langu nimekukosea najuaa nimejuaa kosa languu najutaa kukuharibia siku ile ya janaa maana ulikua na hamu ya kuchart na mimi najua utakuja soma hapa nisameheee jamanii Jf hii ni balaaa ngoja nisepe mieee.
Hayaaa TATIANA Ichana Sista Evelyn Salt miss neddy enhance masai dada na wengineeooo nioombeenii balaa hilii mwenzenuuu.
Kama hujisikii kukoment soma kimya kimya Sepaaaaaa
loh shemeji pole najua yameshaisha unajua sisi watu wa pande ya ziwa hatuna mengi ukiomba msamaha tu baaaaaaaaasi.