Jamii forum hii lol!

Jamii forum hii lol!

Utuwache na uswahili wetu tuinjoi maisha yetu ya kiswazi.. Evelyn Salt hebu niazime like dera lako la blue leo naenda jahazi modern.. Dinazarde upo chumbani kwakoo? Nakuja uniazime zile hereni zako nimatch na dera leo nna mtoko. Kim nana naomba mboga nishaivisha ugali mie hata sijapika mboga leo nilikuwa na hela ya unga robo tu.

Atuwache angekua sio mswahili angetundika uzii hovyo hovyooo njoo uchukue hereniii mwaegoo
 
Last edited by a moderator:
Wadauzzzzzzzzzz mpoooooooo
Kama kawaidaaa yetuu humu MMU ukaletwaa uzii mtu anataka kufaaa weeee tukaushikiliaaa bangooo hataree thread ikanogaaa mpaka basiiii michambo ikapambaa motoo si utanii ,mie mtoto wa kikee yamenikutaa aisee

! !!!!!my laazizii kipenzi cha moyo wanguuu, we ndo joto langu, blanket langu, utamu wanguu,jamani ni kupitiwaa tu ukatuma sms kwa Whatsapp jamani nikawa najibu huku natoka kuchunguliaa umbeaa wa jamiii wa NATAMANI KUFA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Maana uzi ulinogaa mpambano ulikua mkalii balaaaaa, heeee laaziz si akagunduaaa mweeeee kesiii hiyo ninayo miee naisovu mwenyeweeeee aisee natakaa nianze kupotea poteaa kidogoo maanaa Jamiii tamu,mume mtamu zaidiii haki ya baba hata mama anajuaa hilii kua mume mtamuu nakupenda sanaa unafahamu hilo
Jaman mpenzi wangu,mume wangu kipenziii hakuna kama wewe hapa chini ya juaa naomba nisamehee kwa kosaa langu nimekukoseaa najuaa nimejuaa kosa languu najutaa kukuharibia siku ile ya janaa maana ulikua na hamu ya kuchart na mimi najua utakuja soma hapa nisameheee jamanii Jf hii ni balaaa ngoja nisepe mieee
Hayaaa TATIANA Ichana Sista Evelyn Salt miss neddy enhance masai dada na wengineeooo nioombeenii balaa hilii mwenzenuuu
Kama hujisikii kukoment soma kimya kimya Sepaaaaaa

mke jf mume jf, haya majanga....
 
Last edited by a moderator:
Atuwache angekua sio mswahili angetundika uzii hovyo hovyooo njoo uchukue hereniii mwaegoo

Asante shoga nikitoka hapa napitia mtaa wa pili kwa masai dada nikaazime viatu ye ndio tunavaliana.. kandambili zangu ntaziacha kwake
 
Last edited by a moderator:
I wll back ila achen uswahil nyie wazaromo munaboa

Nimekupatiaa jana uliona raisi wako kagame aligwayaa kujaa umeonaaa eee muda si mrefu tutawachapaa tena mi ntaanza na wewe,hayaa fungashaa toka kwetuu rudi kwenye ka wilaya kenuu hukoo
 
Back
Top Bottom