Jamii forum hii lol!

Jamii forum hii lol!

Nawe dear umeingia JF kuelezea yaliyokusibu badala ya kuniandikia tu whatsapp nami nikaacha kujitokeza lakini maadamu uliandika kuokoa mahusiano hilo umefanikiwa maana hali ilikuwa mbaya. Lakini sasa nakukumbusha kuwa kuandika kwako huu uzi nami nikatokea jiandae kwa yafuatayo JF, less likes, less quotes, less mentions and less PM toka kwa wanaume baadhi walikupigia hesabu wakupate wale hutumia JF kutafuta wa kulamba ila wengine wataendelea maana ni wanaforum wa kujadili bila kujali sie siasani na kwenye Great Thinkers hatuana hili tatizo kama huku MMU malavidavi mengi na imagination za kumpata fulani nyingi mno sababu ya ile mijadala ya mapenzi wengine hutekewa na kudhania kweli

Hubby wee kule ulitakaa kunipa ban nikaona nije nielezee hapaa mashostito niliokua nao kwenye umbeaa ulee waniombee nao msamahaa maana ulichukiaa kwelii na kusemaa nihamiee JF!!!!!
Hao watuma pm achana nao mpenzi wangu wala siwahitaji na sihitajii kukucheat kabisaa maana we ni tofautii na wengine kabisaa sioni wala sisikii kwako hata usemweje,najivuniaa kua na wewe ndio maana sijaonaa hatarii kutitirika hapaa maana raha unipazo ni siri yangu honey,staki kukupotezaa bado nakuhitaji sanaa Redlum. Mengine ni changamoto tu katika mahusiano usijali sanaaa pia ni kuyapotezeaaa kuyatupa kulee
UJUE NAKUPENDA SANAA LOVE
 
Last edited by a moderator:
wanandoa wanawasiliana kupitia jf....jf iko juu sana,.dah....ukistaajabu ya musa.............
 
Shost nimeachaa haki ya mimii wallah ngoja nijali mume kwanzaa mumr mtamu sanaa asikuambiee vipi nawe mumeoo watu8 ushamuweka sawaaa eeeee duu

Mie na watu8 lazima kutenga muda wetu ati manake ukipumzika umekaa kidogo uko jamiiforums lol simu naiweka mbaliiii.... Nipate muda na mume
 
Last edited by a moderator:
Mpenzi hebu mfunze huyu kichunda...

Mie na watu8 lazima kutenga muda wetu ati manake ukipumzika umekaa kidogo uko jamiiforums lol simu naiweka mbaliiii.... Nipate muda na mume
 
Last edited by a moderator:
Mimi naona kama tunapigana fiksi tu hapa kama UKAWA na CCM...

Utadhanii ni fiks lakini ndio hivyoi ukwelii ndio huu nishasamehewaa roho kwatuuu mieeeer maana ungenichekaa weweee
 
Kama sio fiksi basi ni maajabu kama ya watoto wadogo wachezao kombolela...

Utadhanii ni fiks lakini ndio hivyoi ukwelii ndio huu nishasamehewaa roho kwatuuu mieeeer maana ungenichekaa weweee
 
Hubby wee kule ulitakaa kunipa ban nikaona nije nielezee hapaa mashostito niliokua nao kwenye umbeaa ulee waniombee nao msamahaa maana ulichukiaa kwelii na kusemaa nihamiee JF!!!!!
Hao watuma pm achana nao mpenzi wangu wala siwahitaji na sihitajii kukucheat kabisaa maana we ni tofautii na wengine kabisaa sioni wala sisikii kwako hata usemweje,najivuniaa kua na wewe ndio maana sijaonaa hatarii kutitirika hapaa maana raha unipazo ni siri yangu honey,staki kukupotezaa bado nakuhitaji sanaa Redlum. Mengine ni changamoto tu katika mahusiano usijali sanaaa pia ni kuyapotezeaaa kuyatupa kulee
UJUE NAKUPENDA SANAA LOVE

Aaaaaa Dinazarde nilikuwa nakupa tu angalizo maneno yote haya sio ya JF ni whatsapp utaonekana fix nyingi kutaja mambo mengine hadharani inakuwa kama naibiwa jua kubalance niltegeme likes tu ukaondoka sitaki ligi nilikuwa nakutonya tu lol!
 
Aaaaaa Dinazarde nilikuwa nakupa tu angalizo maneno yote haya sio ya JF ni whatsapp utaonekana fix nyingi kutaja mambo mengine hadharani inakuwa kama naibiwa jua kubalance niltegeme likes tu ukaondoka sitaki ligi nilikuwa nakutonya tu lol!

Hayaa poaa nimekupataaaa
 
ukukagame yukwapi nasikia ni mbaya mbovu kama negative ya mizengo pinda
 
Mapenzi yangekuwa ni utoto basi siye wenye mavuz.i yetu twahangaika nayo kwa lipi?

Siku hizii unatajaa mamboo wewe sikuwezii inabidi ukafundwe kama weweeee
 
Back
Top Bottom