Nieende wapi dear.. nipo kitandani tu toka kumepambazuka
Asante shoga nikitoka hapa napitia mtaa wa pili kwa masai dada nikaazime viatu ye ndio tunavaliana.. kandambili zangu ntaziacha kwake
Asante shoga nikitoka hapa napitia mtaa wa pili kwa masai dada nikaazime viatu ye ndio tunavaliana.. kandambili zangu ntaziacha kwake
Huo ni ubaguzi wa rangi ambao nchi za afric hatuna labda utengeneze nchi yakoNimekupatiaa jana uliona raisi wako kagame aligwayaa kujaa umeonaaa eee muda si mrefu tutawachapaa tena mi ntaanza na wewe,hayaa fungashaa toka kwetuu rudi kwenye ka wilaya kenuu hukoo
Kachunaa nani tena huyu make mwenzio
Kweli we mswahili mwenzanguu mpaka ndala uache kwakee kwani mnaenda wapiii maana msiba haupoo kuna mzimu tuuu hahhha
matatizzo ya ndoa yanatangazwa jf, duh
Alafu wanamshangaa umukagame,,kati yangu mie na wao mwendawazimu atakuwa nani?anaekuja tuanikia ugomvi wake na mumewe humu na kuomba msamaha??asiye na mwanaume humu nani?asiyegombana na mwenzie humu nani?asiyempnda hubby wake humu nani??inahuuuu sana
hongera Dina kwa kusamehewa!tunamshukuru sana shemeji kwa kukusamehe! nawatakia jpili njema.Leo ukarangize mapochopocho kibao! nakuaminia !
Jana ulinichekeshaaa aisee ulivyotuagaaaa lol
Hongera zake...kupendwa ndio huko Dinazarde
Walioachika wanaumiajeeee! Kupendana rahaaaa mweee!
hahhaha niuzie kesi hahahah natania bwana The Boss leo umeamua kufanya uchambuzi wa jinsia za watu umu nipe kazi ya kurekodi
Happy muungano day..utakuwa mmama wa ukweli for sure
Alafu wanamshangaa umukagame,,kati yangu mie na wao mwendawazimu atakuwa nani?anaekuja tuanikia ugomvi wake na mumewe humu na kuomba msamaha??asiye na mwanaume humu nani?asiyegombana na mwenzie humu nani?asiyempnda hubby wake humu nani??inahuuuu sana
mke jf mume jf, haya majanga....