Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Mkuu unaamini zile pesa za escrow hazikuliwa?Mungu mkubwa, hashindwi na utawala wa mabavu. Poleni sana familia ya mzee Rugemalira na marafiki zake wa kweli.
Mkuu unaamini zile pesa za escrow hazikuliwa?Mungu mkubwa, hashindwi na utawala wa mabavu. Poleni sana familia ya mzee Rugemalira na marafiki zake wa kweli.
Mwamba karudi kitaa,JPM alimbinya akitegemea atasalimu amri au afie gerezani,hakuwajua wahaya jinsi walivyo,na dharau na misimamo hatari.View attachment 1940085
Salaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
View attachment 1940204
View attachment 1940227
Aligoma na sasa hivi hakuna hicho kifungu.DPP ameamua kutoendelea na mashitakaJambo la kheri, yeye aligoma kabisa kukiri kosa na kulipa fidia?
Kuna watu walikufa kwa kukosa madawa hospital,wamama walikosa vitanda vya kujifungulia wakati mke wake akijifungulia Marekani, watoto walikosa madawati,wakati wakwakwe akipeleka Ulaya,acha akomeshwe, sasahivi awezi rudia dili zake za kuibia serikaliDhalimu alionea watu sana
What a lovely day?View attachment 1940085
Salaam Wakuu,
Leo nimepita maeneo ya Mahakama ya Kisutu, Nikakuta Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira anatabasamu akiwa na ndugu zake wakipeana hugs na kuchumiana. Inaashilia kuna dalili nzuri leo Mzee wa Henken akaliona jua. Langu Dua.
James Rugemalila(Kulia) na mmiliki wa Kampuni ya IPTL, Harbinder Seth Sigh(Kushoto), wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi kabla ya kupanda kizimbani Mahakamani Kisutu Jijini Dar.
Tarehe 19 Jun, 2017 TAKUKURU wawafikisha mahakamani Seth Na Rugemalila kwa uhujumi uchumi. walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu wakishtakiwa kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, likiwamo la kuisababisha Serikali hasara ya jumla ya takriban Sh358 bilioni.
Wakili wa Serikali, Paul Kadushi aliyataja mashtaka mengine yanayowakabili wawili hao kuwa ni kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu na kuisababishia hasara Serikali.
Zaidi Soma:
1). TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi
UPDATE:
Rugemalila yupo huru!
Mashtaka yake yameondolewa chini ya kifungu cha 91(1) cha Mwanendo wa Makosa ya Jinai
View attachment 1940204
View attachment 1940227
Alikamatwa 2017, Miaka 4 ya utawala wa jiwe wameshindwa kuthibitisha, walikuwa wanataka wapewe miaka mingapi?Acha wapige.
Mtu yeyote mwenye nafasi kama hatapiga hela atakuwa ni mpumbavu wa hali ya juu sana.
Namshangaa sana Mbowe ana kila kitu sasa anapata tabu yote kisa kumpigania mtz? Mtz yupi?
Ukirejea hoja za wanachadema enzi za Jk juu ya Rugamalila na sasa aisee..
Narudi! Mtu mwenye nafasi hapa nchini kama hatapiga hela atakuwa mpumbavu sana.
Una maana lile sakata la escrow la kuchukua pesa kwenye viroba ilikuwa sio kweli?What a lovely day?
Nimefurahi sana
Una maana lile sakata la escrow la kuchukua pesa kwenye viroba ilikuwa sio kweli?
Na kwa akili za JPM akamshitaki Rugemalira akamwacha nyangumi akiamini kesi ita-hold waters sio?Mchongo ulifanywa na Kikwete so lazimi wamuachie tu
Ile ni biashara kama zingine haina tofauti na mchimba madini ya vito akafanikiwa kupata mawe ya matrilioni akaamua 'kula' na watu wake wa karibu pia kusaidia jamii kwa kujenga madarasa, hospitali, kufadhili Simba, Yanga n.k.Mkuu unaamini zile pesa za escrow hazikuliwa?
Mtu kauza kampuni yake, kalipa na Kodi kwa Kayafa, hapo kosa lake nini?Una maana lile sakata la escrow la kuchukua pesa kwenye viroba ilikuwa sio kweli?
Inawezekana, Ila Kama hazikuwa za umma ilikuwaje tibaijuka akawajibishwa? Maana alifukuzwa uwaziriSwali aliulizwa Rais kikwete pesa za escrow ni za umma au sio za umma akajibu sio za umma sasa unaumia nini pesa sio za umma
Kama jamaa yako alikuwa mkweli. Mbona hakuwakamata Simba trust ?!. Yule alikuwa mnafiki tu.Ndio nimejifunza kuacha mafisadi wafisadi mpaka kiwango cha 5G, kumbe tunapenda kupigwa kiasi hiki! Aliyenacho ataongezewa mara dufu hata kwa kuiba.
Unajua shida ni kuwa sisi ndio tulitaka waliohusika wawajibishwe.Ile ni biashara kama zingine haina tofauti na mchimba madini ya vito akafanikiwa kupata mawe ya matrilioni akaamua 'kula' na watu wake wa karibu pia kusaidia jamii kwa kujenga madarasa, hospitali, kufadhili Simba, Yanga n.k.