Sio uchoyo. Unaweka vitu vinavyopingana in one sentence.
Huwezi kuongelea kutotaka kuendeshwa while at the same time unaomba hadi hela ya pedi, hiyo ni very illogical. Kutokuendeshwa kunaanza na financial freedom. Unahudumiwa hadi hela ya pedi kisha unaongelea kutokuendeshwa? Hata uamuzi wa jamaa umekuja kutokana na kuona kabisa kuwa financially hiyo kazi haimsaidii chochote huyo demu. Kama unafanya kazi halafu unashindwa hata kununua pedi, most likely hiyo kazi inakupotezea tu muda.
Shida wanawake huwa hamna logic kabisa, mnawaza kindezi sana.