Jaji Mkuu, kulikoni mpaka Sasa una majaji wamestaafu wanafanya kazi kwa mkataba? Nchi haina wajuzi wa sheria?

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,002
20,660
Namuuliza tu Jaji Mkuu, kulikoni mpaka Leo ana majaji wamestaafu wanapewa mkataba waendelee kuhudumu? Hawa si ndio watakuwa na utii kwa mtu anayewaongezea mkataba?

Waende kupumzika SSH ateue watu, wako wengi, na mama anajua kuchagua
 
Namuuliza tu Jaji Mkuu, kulikoni mpaka Leo ana majaji wamestaafu wanapewa mkataba waendelee kuhudumu? Hawa so ndio watakuwa na utii kwa mtu anayewaongezea mkataba?

Waende kupumzika SSH ateue watu, wako wengi, na mama anajua kuchagua
Majina tafadhali weka
 
Huwa inaaminika kuwa majaji huongeza umakini na weledi wao kadri umri unavyokuwa mkubwa na uzoefu kuongezeka.

Je katika kumbukumbu za orodha ya majaji wa mahakama kuu ya 2014, kina nani bado wapo wanahudumu :

TRANSCRIPT

ORODHA YA WAHESHIMIWA MAJAJI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA
NA. JINA MAHALI ALIPO source : Orodha Ya Waheshimiwa Majaji Wa Mahakama Kuu Ya Tanzania-2014 Bb

  1. Jaji Kiongozi Mhe. Jaji, Fakihi Abdallah Rheno Jundu,JAJI KIONGOZI MAHAKAMA KUU YA TANZANIA DAR ES SALAAM
  2. Mhe. Jaji, Simon B. Lukelelwa Jaji Mfawidhi, Tabora
  3. Mhe. Jaji, Njengafibili Mponjoli
    Mwaikugile Jaji Mahakama Kuu ya Tanzania Dar es salaam
  4. Mhe. Jaji, Projest Rugazia Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu, Tanga
  5. Mhe. Jaji, Raziabegum Hassan Sheikh Mahakama Kuu, DSM
  6. Mhe. Jaji, Augustine Felix Kilimu Shangwa,Mahakama Kuu, DSM
  7. Mhe. Jaji, Mariam Simbo Shangali, Jaji Mfawidhi, Iringa
  8. . Mhe. Jaji, Regina Mtembei Rweyemamu, Jaji Mfawidhi, Mahakama ya Kazi, DSM
  9. Mhe. Jaji, Richard E. Mziray, Jaji Mfawidhi, Ardhi, DSM
  10. . Mhe. Jaji, Augustine Gherabast
    Mwarija Jaji, Mahakama Kuu, DSM
  11. Mhe. Jaji, Sakieti Suleiman Saidi Kihiyo Jaji Mfawidhi, DSM
  12. Mhe. Jaji, Robert Vincent Makaramba Jaji Mfawidhi, Biashara,DSM
  13. Mhe. Jaji, Gad John Kimweri Mjemmas Jaji Mfawidhi, Bukoba
  14. Mhe. Jaji, Agathon Alois Nchimbi Jaji, Mahakama Kuu, Biashara
  15. Mhe. Jaji, Noel Peter Zaudin
    Chocha, Jaji Mfawidhi, Mbeya
  16. Mhe. Jaji, Aisheli Nelson Marko Summari, Jaji Mfawidhi, Mwanza
  17. Mhe. Jaji, Aisha Charles Nyerere Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu, Moshi
  18. Mhe. Jaji, Stella Eshete Augustine Mugasha,Jaji Mfawidhi, Arusha
  19. Mhe. Jaji, Imani Daud Aboud Jaji, Mahakama Kuu, Kazi
  20. .Mhe. Jaji, Kakusulo
    Mwakipome Mbutolwe Sambo Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu, Sumbawanga
  21. Mhe. Jaji, Shaban Ally Lila Jaji Mfawidhi, DSM (Ilala)
  22. Mhe. Jaji, Amiri Rajabu Mruma, Jaji, Mahakama Kuu, Tabora
  23. Mhe. Jaji, Aloyisiu Kibuuka
    Mujulizi Mwenyekiti Tume ya Kurekebisha sheria, Jaji Dar es Salaam
  24. Mhe. Jaji, Mwanaisha Athuman Kwariko, Jaji, Mfawidhi MahakamaKuu, Songea
  25. Mhe. Jaji, Sophia A. Nyambura Wambura,
    Jaji, Mahakama Kuu, Kazi
  26. Mhe. Jaji, Gabriel Kamugisha Rwakibalila,Jaji ,Mahakama Kuu, DSM
  27. Mhe. Jaji, Crecencia William Makuru Jaji, Mfawidhi MahakamaKuu, Dodoma
  28. Mhe. Jaji, Rose Agrey Teemba, Jaji, Mahakama Kuu, DSM
  29. Mhe. Jaji, Lawrence Kisenge
    Nziajose Kaduri, Jaji ,Mahakama Kuu, DSM
  30. Mhe. Jaji, Atuganile Florida Ngwala Jaji, Mahakama Kuu, Mbeya
  31. Mhe. Jaji, Rehema Kiwanga Mkuye Jaji, Mahakama Kuu, Dodoma
  32. Mhe. Jaji, Ibrahim Sahida Mipawa Jaji, Mahakama Kuu,
    Kazi,DSM
  33. Mhe. Jaji, Upendo Hillary Msuya Jaji, Mahakama Kuu, Tanga
  34. Mhe. Jaji, Kassim Mmbagga
    Nyangarika, Jaji, Mahakama Kuu, Biashara,DSM
  35. Mhe. Jaji, Zainabu Goronya Muruke Jaji, Mahakama Kuu, DSM
  36. Mhe. Jaji, Ferdinand Leons Katipwa Wambali
    Jaji, Mkuu wa Chuo Lushoto IJA
  37. Mhe. Jaji, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi Jaji, Mahakama Kuu, Mwanza
  38. Mhe. Jaji, Sekela Cyril Moshi Jaji, Mahakama Kuu, Arusha
  39. Mhe. Jaji, Fatuma Hamisi Massengi Jaji, Mahakama Kuu, Arusha
  40. Mhe. Jaji, Pellagia Barnabas
    Khaday Jaji, Mahakama Kuu, Bukoba
  41. Mhe. Jaji, Fredrica William Mgaya Jaji, Mahakama Kuu, DSM
  42. Mhe. Jaji, Hamisa Hamis
    Kalombola Jaji, Mahakama Kuu, Ardhi,DSM
  43. Mhe. Jaji, Moses Gunga Mzuna Jaji, Mfawidhi Mahakama Kuu, Mtwara
  44. Mhe. Jaji, John Harold Kulimba Utamwa Jaji, Mahakama Kuu, DSM
  45. Mhe. Jaji, Beatrice Rodah Mutungi Jaji, Mahakama Kuu, Ardhi,DSM
  46. Mhe. Jaji, Richard Malima Kibela Jaji, Mahakama Kuu, Mtwara
  47. Mhe. Jaji, Grace Kalonge
    Mwakipesile Jaji, Mahakama Kuu, DSM
  48. Mhe. Jaji, Ama Isario Ataulwa Munisi Jaji, Mahakama Kuu, Moshi
  49. Mhe. Jaji, Agness Enos Bukuku Jaji, Mahakama Kuu, Mwanza
  50. Mhe. Jaji, Mwenda Judith Malecela Jaji, Mahakama Kuu, DSM
  51. Mhe. Jaji, Haruna Twaib Songoro, Jaji, Mahakama Kuu, Tabora
  52. Mhe. Jaji, Fauz Abdallah Twaib Jaji, Mahakama Kuu, DSM
  53. Mhe. Jaji, John Samwel Mgetta Jaji, Mahakama Kuu, Ardhi,
    DSM
  54. Mhe. Jaji, Patriticia Fikirini Jaji, Mahakama Kuu, Songea
  55. Mhe. Jaji, Sam Rumanyika Jaji, Mahakama Kuu, Tabora
  56. Mhe. Jaji, Salvatory Bongole Jaji, Mahakama Kuu, DSM
  57. Mhe. Jaji, Gerad Ndika Jaji, Mahakama Kuu, Ardhi,
    DSM
  58. Mhe. Jaji, Mathew Mwaimu Jaji, Mahakama Kuu, Arusha
  59. Mhe. Jaji, Jacobs Mwambegele Jaji, Mahakama Kuu,
    Sumbawanga
  60. Mhe. Jaji, Joaquine De Mello Jaji, Mahakama Kuu, Mwanza
  61. Mhe. Jaji, Latifa Mansoor Jaji, Mahakama Kuu, Ardhi ,DSM
    ORODHA YA JAJI WALIO HAMIA IDARA
  62. Francis S.K. Mutungi, Jaji, Msajili wa Vyama vya siasa

 
31 Agosti 2021
Ziara Ya Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma Katika Kanda Ya Bukoba Tarehe 30–31 Agosti,2021 Kikao Cha Watumishi Wa Mahakama Kanda Ya Bukoba

Naomba niwashukuru sana watumishi wa Kanda ya Bukoba chini ya uongozi Mhe. Jaji Dkt. Ntemi Kilekamajenga, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba kwa kunikaribisha mimi, pamoja na Waheshimiwa Majaji wa Rufani-Jacobs Mwambegele, Rehema Kerefu na Penterine Kente. Tumeweza kukamilisha kikao cha Mahakama ya Rufani kwa ufanisi mkubwa.

Nawashukuru pia Waheshimiwa Majaji wa Mahakama Kuu-Angaza Mwipopo, Emmanuel Loitare Ngigwana na Ayub Yusuf Mwenda.
 
TOKA MAKTABA :

11 May 2021

Rais Samia ateua majaji, yupo Biswalo Mganga​


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa majaji saba wa mahakama ya rufani na majaji 21 wa mahakama kuu akiwemo Biswalo Mganga aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP).
majaji wa mahakama ya rufani na mahakama kuu ni :

  1. Biswalo Mganga
  2. Patricia Saleh Fikirini,
  3. Penterine Kente,
  4. Dk Paul Kihwelo,
  5. Lucia Kairo,
  6. Lilian Mashaka,
  7. Issa Maige
  8. Abraham Mwampashi
  9. Katarina Revocati
  10. Devotha Kamuzora,
  11. Zahra Maruma,
  12. Chaba Messe John,
  13. Lilian Itemba,
  14. Awamu Mbagwa,
  15. Ayoub Mwenda,
  16. Nyigulile Mwaseba,
  17. John Nkwabi,
  18. Safina Simfukwe,
  19. David Nguyale,
  20. Frank Mahimbali,
  21. James Karayemaha,
  22. Emmanuel Ngigwana,
  23. Arafa Msafiri,
  24. Dk Ubena John,
  25. Dk Eliamini Laltaika,
  26. Dk Theodora Mwenegoha
  27. Abdi Kagomba
  28. na Mwanabaraka Mnyukwa.


“Uteuzi wa Jaji wa mahakama ya rufani, Patricia Saleh Fikirini umeanza Mei 5, 2021, wakati uteuzi wa majaji wa mahakama ya rufani wengine umeanza leo Mei 11, 2021,” inaeleza taarifa hiyo ya Ikulu.


“Uteuzi wa majaji wa mahakama kuu umeanza leo Mei 11, 2021,” amesema Msigwa katika taarifa yake kwa umm
 
Bwashee kama wajuzi wetu wa sheria ndiyo kina Tundu Lissu #dishlimetilt hivi unataka wateuliwe majaji ili tuwe na majaji wa aina gani? Ni afadhali hao wastaafu waendelee mpaka kitakapokuja kizazi kingine cha watu wenye akili timamu
 
Bila uangalifu tutapata majaji wa michongo kama wale wa Magufuli, mwingine aliteuliwa si kwa weledi bali kwa kuandika hukumu kwa Kiswahili
Kuna yule alimfunga muhujumu uchumi kahama akapewa ujaji, baada ya kuwa Jaji akawa anaandika hukumu za hovyo kabisa, JPM alimuongelea katika hotuba akamsifia, akampa ujaji, kumbe fekelo, akarudishwa masjala kuu asimamie makarani
 
taasi.JPG


tasis.JPG


Ndg watanzania lawama zisizo na msingi sio nzuri... ni kosa kuweka nyaraka mtandaoni lakini kuna muda ina bidi tu ili tuweze kuelimishana... kama kuna sheria mbovu basi tupige kelele zibadilishwe kila kitu kipo kwa mujibu wa sheria sio kwa utashi wa mtu binafsi...
 
Back
Top Bottom