Jaji aliyesoma hukumu ya CHADEMA ni Mzanzibar? Aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar

Jaji aliyesoma hukumu ya CHADEMA ni Mzanzibar? Aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,276
Reaction score
38,847
Nauliza tu huyu mtu ni Mzanzibar? kama ndiyo, vipi kuhusu mahusiano yake na hukumu aliyotoa ambayo iligubikwa na utata?

Huyu Jaji aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar kabla hajawa Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

Hata kama ni suala la kurafsiriwa kama ubaguzi potelea mbali. Mwenendo wa Wazanzibar kwa Tanganyika hauko sawa. Kuna namna wanatuharibia ustawi wetu kama Tanganyika.
20250611_053428.jpg
 
Nauliza tu huyu mtu ni Mzanzibar? kama ndiyo, vipi kuhusu mahusiano yake na hukumu aliyotoa ambayo iligubikwa na utata?

Huyu Jaji aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar kabla hajawa Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

Hata kama ni suala la kurafsiriwa kama ubaguzi potelea mbali. Mwenendo wa Wazanzibar kwa Tanganyika hauko sawa. Kuna namna wanatuharibia ustawi wetu kama Tanganyika.
View attachment 3363996
Alieleta kesi ni mzanzibar. Kudaaadeki huu Muungano wakuvunja tu. Kamkoa kale eti nchi
 
Ni mpare. Chawa mmoja na mtu wa kujipendekeza saana kwa mamlaka. Pia ni kajinga kamoja kenye u Ccm saana.

Alikuwaga Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kama Wakili kabla ya kwenda Tume ya uchaguzi. Alikuwa na kashfa nyingi sana za rushwa akiwa Wakili wa Serikali.

Alikimbilia Tume ya Uchaguzi, akafanya kazi kule hadi kuteuliwa kuwa Jaji.

Watu kama huyu Jaji ndo wanathibitisha umuhimu wa Reforms kwenye Katiba na Sheria za hii nchi ili tupate watu safi wasio na mawaa.
 
Una hoja ina maana wanzanzibar wana tawala kila idara tanganyika na wakina wambura wapo wanasifia usengerema
Ni upuuzi, tena nyadhifa kubwa na mhimu kabisa kwa Nchi!!. Yaani tunawaamini vipi hawa watu wa Nchi jirani tulionao kwenye muungano ambao pande zote hatuutaki?,Vitu vya hovyo.
 
Nauliza tu huyu mtu ni Mzanzibar? kama ndiyo, vipi kuhusu mahusiano yake na hukumu aliyotoa ambayo iligubikwa na utata?

Huyu Jaji aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar kabla hajawa Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

Hata kama ni suala la kurafsiriwa kama ubaguzi potelea mbali. Mwenendo wa Wazanzibar kwa Tanganyika hauko sawa. Kuna namna wanatuharibia ustawi wetu kama Tanganyika.
View attachment 3363996
Hao wazanzibar uadilifu wao ni zero kama jecha tu
 
Nauliza tu huyu mtu ni Mzanzibar? kama ndiyo, vipi kuhusu mahusiano yake na hukumu aliyotoa ambayo iligubikwa na utata?

Huyu Jaji aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar kabla hajawa Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

Hata kama ni suala la kurafsiriwa kama ubaguzi potelea mbali. Mwenendo wa Wazanzibar kwa Tanganyika hauko sawa. Kuna namna wanatuharibia ustawi wetu kama Tanganyika.
View attachment 3363996
Wazanzibar ni wabaguzi haswa tuwatenge hawatufai
 
Nawashangaa sana wale CCM Watanganyika, wenye uwendawazimu, wanaoshabikia na kufurahia ushenzi wa haliya juu unaofanywa na wazanzibari dhidi ya Tanganyika:

Q. Waliopora bandari za Tanganyika na kwapa waarabu wote ni wazanzibari (waziri, katibu mkuu, mwanasheria mpaka mkurugenzi wa bandari ya Dar)

2. Walippora mbuga za wanyama na kuwapa waarabu, ni mkwe wa Rais, kwa kumwoa mzanzibari, naye ni mzanzibari.

3. Waliopora uwanja wa ndege na kuwapa waarabu, ni wazanzibari.
4. Wanaotaka kuifuta CHADEMA, kuanzia walioshtaki mpaka jaji, ni wazanzibari, japo huyo jaji amekulia Tanganyika, lakini kiasili ni mzanzibari.

5. Msimamizi wa kikundi kisicho rasmi, kikundi cha watekaji na wauaji ni mwanafamilia.

NB: Wazanzibari wameamua kuipora Tanganyika halafu kuna watanganyika wasaliti, wajinga wasio na uzalendo kwa Tanganyika, wanashabikia huu ushenzi dhidi ya Tanganyika yao. Enyi wasaliti, hata kama hamuipendi CHADEMA, ipendeni Tanganyika yenu.

Kwa hapa tulipofikia, ni aheri wazanzibari warudi kwao kwani kuwepo kwao Tanganyika ni hasara na madhira makubwa kwa Tanganyika.
 
Nauliza tu huyu mtu ni Mzanzibar? kama ndiyo, vipi kuhusu mahusiano yake na hukumu aliyotoa ambayo iligubikwa na utata?

Huyu Jaji aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar kabla hajawa Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

Hata kama ni suala la kurafsiriwa kama ubaguzi potelea mbali. Mwenendo wa Wazanzibar kwa Tanganyika hauko sawa. Kuna namna wanatuharibia ustawi wetu kama Tanganyika.
View attachment 3363996
Nenda kamfuate umuulize mwenyewe,unamuogopa?
 
Back
Top Bottom