Jaji aliyesoma hukumu ya CHADEMA ni Mzanzibar? Aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar

Jaji aliyesoma hukumu ya CHADEMA ni Mzanzibar? Aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar

Tunakukumbusha tu kuwa Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar ni Mtanganyika kutoka upareni. Nyie endeleeni kutafuta uzaliwa wa watanzania.
Muungano ufe kila mmoja akae kwake huyo mtu mmoja arejee Tanganyika zipo fursa nyingi
 
CHADEMA msipoteze muda kuongelea uzanzibari na utanganyika wakati huko mahakamani mnapelekewa moto... nyie huwa ni kama wendawazimu.
 
Huyu ni mpare mtu wa Usangu ni ndugu wa karibu na Diwani Athuman Msuya former DGIS , Ni -TISS pia
Alikua anafanya kazi na Mchengerwa maafisa wa kumsaidia Jaji kuandika hukumu ..huko kote alikopita NEC na ZEC ilikua ni kufanikisha kazi ya CCM ndo amezawadiwa Ujaji.
Moja ya kesi yake kubwa kusimamia ni ile ya jamaa kumchoma mke wake kwa gunia la mkaa basi.
Tatizo hawa watu hawaoni kuwa watakuja kulipia ujinga kama huu ndio mana wanaendelea na wanakuja kuzawadiwa. Angejua kuwa wanawae au mkewe atalipia wasingekuwa wana thubutu kukubali ujinga.
 
Mshaambiwa sio Mzanzibari lkn mnataka iwe na iyonekane ni Mzanzibar mnataka kudanganya watu kwa faida yanani!!!!!!!!!!
Hao jamaa hawajui kusoma ni makusuku vilaza kupitiliza.. kwa hiyo siku hizi wapare wamekuwa wazanizbar ? hata kama mko na chuki na kale kajisiwa ila uyo ndugu yenju msibadilishe asili yake alaaa!
 
Mkoloni kaburu Dikteta toka Zanzibar anaitawala Tanganyika kimabavu kwa ushirikiano wa vibaraka wanafiki watesi akina Bashungwa, IGP, Amos makala chawaccm na ibirisi wengine wa ccm chama cha kidikteta utekaji mauaji kuwabambikia kesi za uongo kufunga makanisa kutumia mahakamaccm vibaya kutoa hukumu haramu za kishetani
 
Tatizo hawa watu hawaoni kuwa watakuja kulipia ujinga kama huu ndio mana wanaendelea na wanakuja kuzawadiwa. Angejua kuwa wanawae au mkewe atalipia wasingekuwa wana thubutu kukubali ujinga.
Sisi watanzania ndo bado tumelala
Tungekua tumeamka haya tusingekua tunayaona
Sema nchi tunaendesha kibepari hlf kwenye mfumo wa vyama tunataka kuendesha kijamaa yaani ccm inaiga vyama vya China, urusi na Korea kaskazani kuwa viwepo vyama vidogo vidogo lkn sio kuviachia madaraka.
Kitu ambacho ni upuuzi tupu
 
Kiufupi Hiko hv mzanzibar ana haki ya kuja Tanganyika na kupewa madaraka yoyote Yale serikalini na ata kwenye utumishi wa umma lkn ww Mtanganyika huna ata haki ya kupewa ubalozi wa Nyumba Kumi kule Zanzibar
Kwahiyo hii ni sawa?
 
Kwani Zanzibar sio TANZANIA.

Ukiona chama kinaanza kujenga hoja kwa udini, ukabila au kwa eneo analotoka Mtu, jua chama hicho kimefilisika kisiasa.
 
Kwana chadema inabidi wagomee hukumu kwasababu jaji aliyetoa hukumu hana uhalali kwakuwa maswala ya kisheria siyo ya muungano
Umeembiwa mpare wewe kiazi sasa wapere wamekuwa sio wamuungano tokea lini.
 
Funza ameesha kuwacha uko behind the scene
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? hilo ndilo tatizo la kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, muungano ufe kila mmoja akae kwake
 
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? hilo ndilo tatizo la kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, muungano ufe kila mmoja akae kwake
Leta funza huyo tumtoe uko wewe Laza ulokubuhu
 
Back
Top Bottom