Jaji aliyesoma hukumu ya CHADEMA ni Mzanzibar? Aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar

Jaji aliyesoma hukumu ya CHADEMA ni Mzanzibar? Aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar

Ulitaka awe kabila gani ndo asome hukumu?
 
Chadema ungana na wapenda haki wote mkae chini mmlilie mungu ikibidi Utabiri wa marehemu Shekhe Yahya utimie hataka kwani hali inatisha sana ibirisi wa ccm ni hatari ni sumu ya Taifa
 
Acha upuuzi wako.
Muungano upe kila mmoja akae kwake ndiyo dawa ya kukomesha Udikiteta wa mama iddy Amin Dada na ibirisi jaji wa ccm aliyetoa hukumu haramu ya kishetani
 
Mshaambiwa sio Mzanzibari lkn mnataka iwe na iyonekane ni Mzanzibar mnataka kudanganya watu kwa faida yanani!!!!!!!!!!
Usishangae akili zimewaruka, wakilala wanaota Zanzibar.
Mahasidi wakubwa.
Mtaiona hivyo hivyo Zanzibar.
 
Kwana chadema inabidi wagomee hukumu kwasababu jaji aliyetoa hukumu hana uhalali kwakuwa maswala ya kisheria siyo ya muungano
 
Nauliza tu huyu mtu ni Mzanzibar? kama ndiyo, vipi kuhusu mahusiano yake na hukumu aliyotoa ambayo iligubikwa na utata?

Huyu Jaji aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar kabla hajawa Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

Hata kama ni suala la kurafsiriwa kama ubaguzi potelea mbali. Mwenendo wa Wazanzibar kwa Tanganyika hauko sawa. Kuna namna wanatuharibia ustawi wetu kama Tanganyika.
View attachment 3363996
NrNe
 
Huyu ni mpare mtu wa Usangu ni ndugu wa karibu na Diwani Athuman Msuya former DGIS , Ni -TISS pia
Alikua anafanya kazi na Mchengerwa maafisa wa kumsaidia Jaji kuandika hukumu ..huko kote alikopita NEC na ZEC ilikua ni kufanikisha kazi ya CCM ndo amezawadiwa Ujaji.
Moja ya kesi yake kubwa kusimamia ni ile ya jamaa kumchoma mke wake kwa gunia la mkaa basi.
Dawa yake ni kusomewa Alibadiri za kutosha na pia laana za walitekwa kuuawa damu zao zitamlilia Jaji ibirisi wa ccm
 
Makaburu wakoloni toka Zanzibar sasa wanaitawala Tanganyika kimabavu
Hivi mlishasahau mlivyokuwa mkiitawala Zanzibar miaka na miaka pamoja na baba yenu Nyerere?
Mkuki kwa nguruwe................
 
Hivi mlishasahau mlivyokuwa mkiitawala Zanzibar miaka na miaka pamoja na baba yenu Nyerere?
Mkuki kwa nguruwe................
Muungano ufe sasa tuondokand na ibirisi shetani Dikteta fashisiti mama iddy Amin Dada
 
Kwana chadema inabidi wagomee hukumu kwasababu jaji aliyetoa hukumu hana uhalali kwakuwa maswala ya kisheria siyo ya muungano
Chadema wanakwenda UN America Ulaya na kote kwenye haki za binadamu kuwashitaki ibirisi wa ccm Duniani kote wajue ushetani wa ccm na wizi wao wa pesa za misaada na pesa za walipa kodi
 
Nauliza tu huyu mtu ni Mzanzibar? kama ndiyo, vipi kuhusu mahusiano yake na hukumu aliyotoa ambayo iligubikwa na utata?

Huyu Jaji aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar kabla hajawa Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

Hata kama ni suala la kurafsiriwa kama ubaguzi potelea mbali. Mwenendo wa Wazanzibar kwa Tanganyika hauko sawa. Kuna namna wanatuharibia ustawi wetu kama Tanganyika.
View attachment 3363996
Tunakukumbusha tu kuwa Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar ni Mtanganyika kutoka upareni. Nyie endeleeni kutafuta uzaliwa wa watanzania.
 
Back
Top Bottom