Nawashangaa sana wale CCM Watanganyika, wenye uwendawazimu, wanaoshabikia na kufurahia ushenzi wa haliya juu unaofanywa na wazanzibari dhidi ya Tanganyika:
Q. Waliopora bandari za Tanganyika na kwapa waarabu wote ni wazanzibari (waziri, katibu mkuu, mwanasheria mpaka mkurugenzi wa bandari ya Dar)
2. Walippora mbuga za wanyama na kuwapa waarabu, ni mkwe wa Rais, kwa kumwoa mzanzibari, naye ni mzanzibari.
3. Waliopora uwanja wa ndege na kuwapa waarabu, ni wazanzibari.
4. Wanaotaka kuifuta CHADEMA, kuanzia walioshtaki mpaka jaji, ni wazanzibari, japo huyo jaji amekulia Tanganyika, lakini kiasili ni mzanzibari.
5. Msimamizi wa kikundi kisicho rasmi, kikundi cha watekaji na wauaji ni mwanafamilia.
NB: Wazanzibari wameamua kuipora Tanganyika halafu kuna watanganyika wasaliti, wajinga wasio na uzalendo kwa Tanganyika, wanashabikia huu ushenzi dhidi ya Tanganyika yao. Enyi wasaliti, hata kama hamuipendi CHADEMA, ipendeni Tanganyika yenu.
Kwa hapa tulipofikia, ni aheri wazanzibari warudi kwao kwani kuwepo kwao Tanganyika ni hasara na madhira makubwa kwa Tanganyika.