J. Samwel Malecela ni mgonjwa

serikali inamghalimia mapesa ya walal hoi ili kupata matibabu Ulaya!Wapi na wapi jamani!
huyu ndio alitaka kutuuza kwa wairan ambapo tungekuwa watumwa mpaka kufa

hana lolote fisadi tu huyu na yeye......alikuwa mrohomwa madaraka mpaka alipofukuzwa na wenyechama
hamna haja ya kuendelea kuishi afe tu uko uko
tumechoka na hawa watu
huruma yetu wanatutia umaskini

hawa watu wanatumia fedaha yetu tu kirahisi namna hii??? wazee wa EAST AFRICA mafao yao mpaka leo hawajapata


VIPI HAPA UMEENEZA CHUKI-TENA YA KUUA NA UMESEMA UNAFURAHIA AKIFA, UMEFANIKIWA WATU WANAKUSAIDIA KUTANGAZA KIFO CHA MALECELA UNAKATAA TENA??


bado hajaaga wakuu.....he's doin fine with our tax money.....

Be carefulna story za vijiweni, unless una hakika kabisa Malecela alitaka kutuuza kwa Iran...akiwa nani?? rais??

Try to think sometime!
 
mungu ampe afya apone haraka aje alitumikie taifa lake....
namaanisha aishi zaid aone anguko la ccm na serikali yake, na akiishi tena zaid ahudhurie kesi zitakazofunguliwa mahakamani na serikal ya wakat huo.
 
bado hajaaga wakuu.....he's doin fine with our tax money.....

RIP sio lazima ufe.....hata ukiwa hai kutoka wikipedia ''R.I.P. is an abbreviation for requiescat in pace ("may he rest in peace", often, though somewhat inaccurately, translated as rest in peace), a short epitaph or idiom used to express wishes of eternal rest and peace for a person who has died (and therefore seen frequently on gravestones).''
 
Be carefulna story za vijiweni, unless una hakika kabisa Malecela alitaka kutuuza kwa Iran...akiwa nani?? rais??Try to think sometime!
bwanamdogo hatujengi madaraja kwenye makaratasi kama unavyofanya
kama kufa afe hamna wa kumlilia labda familia yake
hana la maana kwa watanzania zaidi ya kuzidi kuwaumiza tax payers
Try to think sometime!
think and put things on ground.....bwanamdogo again mie sio mpiga misumali hewanina hivi umetumia jina lako lazima ulambe makalio ya wakina tinga tinga na JK mwaka huu....
 
Hawa ni Baadhi ya watu wliotufikisha kama taifa hapa Tulipo!! Hawakuwa na msaada wowote~ RIP
 
Ugua pole! tuankuombea upone haraka. Kuugua kwako kunatuasababishia kumkosa mama yetu kipenzi Anne kilango!
Huyu mama hana mchango wowote pale mjengoni. Alikuwa maarufu wakati ule wa RICHMOND tu. Huenda kesha pata chake au mafisadi wameshamfisadi
 
Ugua pole Mzee. Mungu akusaidie upone haraka na kurejea katika afya yako
acha unafiki wewe
apone aje kufanya nn tena?
miaka 77 inamtosha sana na apige goti ashukuru mola wake
hana jipya duniani zaidi ya kumaliza pesa ya taxpayers
 
bwanamdogo hatujengi madaraja kwenye makaratasi kama unavyofanya kama kufa afe hamna wa kumlilia labda familia yake hana la maana kwa watanzania zaidi ya kuzidi kuwaumiza tax payers think and put things on ground.....bwanamdogo again mie sio mpiga misumali hewanina hivi umetumia jina lako lazima ulambe makalio ya wakina tinga tinga na JK mwaka huu....
kwahiyo ww unatukana na kukejeli hapa kwa sababu unatumia kivuli. Hii ni tabia mbaya licha ya kwamba unajifanya mjuaji. Huna ujuaji na wala hulka za kibinadam. Hivi mzee wako wewe leo hii watu wamwambie afe na maneno km hayo ni sahihi? Kisa nini? Tofauti za kiitikadi. Wenye itikadi hawapo hivyo.
 
kwahiyo ww unatukana na kukejeli hapa kwa sababu unatumia kivuli. Hii ni tabia mbaya licha ya kwamba unajifanya mjuaji. Huna ujuaji na wala hulka za kibinadam. Hivi mzee wako wewe leo hii watu wamwambie afe na maneno km hayo ni sahihi? Kisa nini? Tofauti za kiitikadi. Wenye itikadi hawapo hivyo.
kama baba yangu ni fisadi nae afilie mbali
sina kicheko na hawa vima wanasiasa
wanatunyonya vya kutosha
wauaji wakubwa hawa
mama zetu wanafia njia wakiende kujifungua mbweha wewe huoni hilo?
tena ningejua yuko hospitali gani ningekwenda kummalizia kabisa
eti @New York USA shenzi taipu uko mnakula kodi zetu pamafu kabisa
 
Pole sana Mzee Singiyemiswi, mungu akujalie upate nguvu mapema ili wewe na wanaokuuguza warudi tuendelee kulijenga taifa letu
 
Apone haraka aje ajisafishe mahakamani, baada ya wazalendo kuchukua nchi
 
huyu mzee ndio alifanya kazi na ametoa mchango wake kwenye taifa letu,lakini wametuharibia sana nchi yetu,
watoto wake wapo marekani na ulaya wanakula bata,
yeye mwaache atangulie mbele ya haki halafu watoto wake watafata,
ni jamii inayoandamwa na laana kwa sababu wamedhulumu maskini wa nchi hii.
 
Naona jamii forums wakati mwingine kuna kuna na tabia zisizojali maadili na utu. Masuala ya itikadi yasiingizwe kwenye nafsi ya mtu au familia ya mtu. Tunapingana na hoja hatupingani na mtu. Tunajadili hoja na kama mtu anaelewa abadilike na si kumpinga mtu huko ni kuishiwa hoja na kuwa mfinyu wa mawazo.

Mzee Malecela amekuwa mtumishi wa umma katika maisha yake, na wengi tunamkumbuka sana, na tunasikitika kwa yaliyompata, na Tunamwomba Mungu amrejeshee afya yake apate nguvu maridhawa. Na poleni kwa familia yake na wote wenye mapenzi mema.
 
Back
Top Bottom