Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Pamoja na yote lakini Edward Lowassa alijitahidi kuipambania CHADEMA kwenye uchguzi mkuu wa 2015 ingawaje alishindwa kuipigania baada ya uchaguzi kupita. Lakini hali kwa Lowassa ikiwa hivyo, Membe ndio sikumuelewa kabisa. Kwanza ile anaingia tu ACT na kupewa fursa ya kuipeperusha bendera, muda mfupi anaingia kwenye malumbano na Maalim Seif. Hivi nyie wenzangu mnafahamu Membe alifanya kampeni kwenye mikoa ipi hapa Tanzania?