Ive read all letters, ya TCRA na ITV Advocate!
dont know why theyre here! Unless kama sijazielewa, otherwise theres nothing burning here!!! Mnataka kutushawishi kwamba ITV (Mengi) inataka kuhujumiwa? If I can remember, Manji alipeleka malalamiko TCRA kwa kile alichoona (yeye Manji) kwamba Mengi anatumia nafasi yake kama mmiliki wa vyombo vya habari kutumia vyombo hivyo kuwadharirisha wenzake! Au kwa maana nyingine, anatumia vyombo vyake kwa maslahi yake binafsi.
Whether thiss true or not, ni kweli sheria za vyombo vya habari zinakataza kuweka mbele maslahi binafsi badala ya yale ya kitaifa!! Hii si mara ya kwanza kwa ITV kushutumiwa kwa jambo hili, kuna wakati ilisemwa kwamba hata muda anaopewa JK kama kiongozi wa nchi ni mdogo ukilinganisha na ule anaopata Mengi( am not sure abt this, and its none of my businesss)! Sasa kama TCRA walipelekewa hayo malalamiko na Manji, what could they do?!
Hawakutakiwa kuwaandikia ITV kwenda kuji-defend? Mbona kwenye hiyo order ya TCRA sijaona popote panapoonesha dalili za kutaka kuihujumu ITV? Au ni kwavile TCRA walipiga biti kwamba ITV wasipo-appear before Authority watakuwa punished? I dont think kama kuna something wrong hapo. TCRA ni mamlaka inayotambulika kisheria hivyo order yake lazima iheshimike whether mtuhumiwa(Say ITV) kafanya kosa au hapana!!!
Kwangu mimi hii nayo ni ilele ya kutaka kumuonesha RM kwamba ni mtu anayehujumiwa!! Kila anapohisi kunafanyika mambo negative dhidi yake, anatafuta defensive mechanism ya kutaka kujionesha anaonewa!! Nakumbuka last year, or year before kuna wapuuzi fulani waliongea kwamba eti RM ni mbaguzi wa kidini!! Katika kutaka kuonesha yeye si mbaguzi, few days later ( if not hours) ITV wakarusha kipindi cha karibu nusu saa (kama sio saa nzima) ikimuonesha RM akila msosi na watoto wa Madrasa kule Kibaha kama sikosei! Katika maongezi yake hiyo siku, nakumbuka RM akisema
..watoto, kuna watu wanasema eti mimi nawabagua nyinyi
! Nilicheka sana siku hiyo na kujiuliza how can such great man look for such cheap popularity!