Inategemea na mmiliki ni nani!.. ndio funzo nililopata hapa!Mmiliki wa vyombo vya habari anaruhusiwa kutumia vyombo vyake vya habari kutangaza habari zake yeye mwenyewe au haruhusiwi? Jambo hili linawahusu wamiliki wote au baadhi ya wamiliki?
Unajua Mwanakijiji, tazama magazeti leo hii yanavyonfunika Mengi tena mengine ni ya serikali lakini sijui kama wanafuata sheria hiyo hiyo wanayozungumzia..
Kumbuka hata wewe uliwekwa ktk nafasi hiyo ulipokuwa ukimzungumzia Lowassa akiwa Waziri Mkuu..mbona hawakukutumia barua ya kukuonya na kukufungia - Ujinga mtupu..