Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,098
- 43,311
Kuna kitu alisema Enigma.. I need to that again... I probably missed something. Is this it?
Kumbe ni kosa kukiuka ratiba ya vipindi ??!!! Sasa kama kuna breaking news inakuwaje?
ha ha ha, kile kipindi maalumu cha Rostam kumjibu Mengi TBC1 kilikuwa ndani ya ratiba? by the way TV ya Taifa vipindi maalumu hupewa Rais na mnaomkaribia, sasa RA! na hakuna hata kupewa kemeo la mdomo. Kweli Rostam ana nguvu...
Nziku, tupo pamoja mkuu. Nilikuwa tu ninashangaa kwamba kati ya makosa ambayo ITV inatakiwa kujitetea ni kuvuruga utaratibu wa vipindi. Hizi sheria zimepitwa na wakati sana.
Biography (fupi) ya Prof. Nkoma hii hapa, huenda naye ni fisadi au anatumiwa....
But the thing is why only ITV??
Mbona Fisadi papa RA alivo enda TBC haijakemewa? yaani sielewi watu wazima wenye akili zao wanapo weza kufanya blanda kama hizi kwa ajili ya kumlinda fisadi mmoja tu!
Labda niungane na Mwanakijiji kuuliza hivi RA hizi nguvu alizo nazo mbona ni za ajabu sana? anazitoa wapi? hivi ni kawaida kweli? ama kuna sayansi za ajabu zinaendelea juu yake kumfanya awe na utiisho juu ya binadamu wenzake? I dont get it!..
this is a wrong move
I dont like it at all
iko namna ya kudeal na Mengi lakini siyo hivi....
Mkuu, wacha ubaguzi 🙁Tanzania ni ya wa-Tanzania na si WAASIA!! Sijawahi na najua haitatokea hata siku moja mtu mweusi kuwa hata katibu tarafa - ASIA, Lakini sijui sie Tanzania tumerogwa?? Maana hao ndo tumewapa nchi watuongoze!! Nadhani sasa inatosha, ONDOKENI!! Msiseme nimekuwa mbaguzi ila matendo yao yanakera, na SIYAPENDI ni heri waondoke tu, wameiharibu sana nchi yetu kwa utapeli na ufisadi wao wakishirikian na ndugu zetu wenye njaa na uchu wa madaraka ambao akili zao ni kama maamuma, wanaojali matumbo yao na waliopoteza uzalendo!!
this is a wrong move
I dont like it at all
iko namna ya kudeal na Mengi lakini siyo hivi....