Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakifanya hivyo ina maana vyombo vyote vya habari vitapata kufungiwa kabisa ikiwamo TBC1 ile tv ya chama cha majizi Tanzania.
Kwa siku hizi chache nimekuwa nikiinasa redio ya Free Afrika Mwanza ikitumika kwa kampeni za chama cha wezi Tanzania huko Busanda. Maana hawatangazi habari za wagombea wa vyama vingine vya siasa ila chama anachotumikia mmiliki wake Diallo. Je nayo ifungiwe?
It will be unfair kufungia itv na tutawa punish kwa kila njia wote watakaohusika kuifungia tv hii kwa kila namna tutakavyoweza.
Moja ya nitakalofanya ni ku boycot kuangalia tbc1 na star tv.
Kwa siku hizi chache nimekuwa nikiinasa redio ya Free Afrika Mwanza ikitumika kwa kampeni za chama cha wezi Tanzania huko Busanda. Maana hawatangazi habari za wagombea wa vyama vingine vya siasa ila chama anachotumikia mmiliki wake Diallo. Je nayo ifungiwe?
It will be unfair kufungia itv na tutawa punish kwa kila njia wote watakaohusika kuifungia tv hii kwa kila namna tutakavyoweza.
Moja ya nitakalofanya ni ku boycot kuangalia tbc1 na star tv.