Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,486
- 3,411
u really believe thats the case? I stand to be corrected lakini je kuna precedent ya serikali kushtaki any of its institutions? Serikali inazidi kumwongezea mengi washabiki na umaarufu wanapomfungulia kesi za kijinga ambazo atashinda.
Mh,
Tangu lini serikali legelege, iliyotekwa na genge la mafia (mf. serikali za Equatorial Guinea, Madagasca, na nyiginezo) iliwahi kushinda kesi mahakamani bila kutegemea rushwa?!
Ofisi ya mwanasheria mkuu imejaa watoto wa mafisadi; kuanzia shule za awali hadi vyouni (vyuo vikuu pia), kufaulu kwao hutegemea ama kuiba mitihani au kununua vyeti. Umahili wa kuandaa au kujibu hoja thabiti za kisheria wataupata wapi? Haupatikani kwenye rushwa bali serious study! Huo ndio ukweli utawala wa kifisadi. Kila kitu; vyeo, uongozi, mapenzi, heshima hununuliwa kwa hongo au rushwa!