Kuna kitu kimoja ambacho watu hawajakielewa hapa. Madai kwamba Mengi ametumia vyombo vyake vibaya kuwasema watu wengine yanatoka wapi? Yeye aliitisha mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vya habari vyenye ujasiri vikaandika na kutangaya alichokisema, ikiwa ni pamoja na vyombo vyake mwenyewe- Kosa hapa ni lipi? Inamaanisha ukimiliki vyombo vya habari basi usiitishe press conference? Au vyombo vyako visitangaze kile utakachokisema?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.